Kumpa millage Mzee Mpili naona sawa na kuukubali upuuzi/ ulimbukeni

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Wadau wa soka husema mpira wa miguu ni science lakini hali ni tofauti kwa upande wetu huku Tanzania, ambapo matukio ya kuwapa watu millage kupitia mgongo wa soka yametamalaki na bado hakuna maendeleo ya huo mchezo.

Waswahili husema kijiji bila wazee hakuna baraka lkn sio kwa vitendo vya kikongwe huyu ambae kwa sasa anaalikwa hadi ktk redio ambapo anaongea vitu ambavyo havina mantiki na sio vya msingi.

Naomba niwape pole wale wote wanao amini ushirikina ktk soka
 
Naona mzee Akilimali kapata mrithi wake.

Utopolo hoyee!.
 
Tuna entertain ujinga ujinga sana huku kwetu ya kina piere huku kina shika.
πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€
Nchi Ngumu Sana
Yaani Mpaka Aibu
 
Napenda kuwafahamisha kuwa Mzee Mpili kawasili salama Kigoma kutekeleza majukukumu yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…