🤣🤣🤣🤣🤣Napenda kuwafahamisha kuwa Mzee Mpili kawasili salama Kigoma kutekeleza majukukumu yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Napenda kuwafahamisha kuwa Mzee Mpili kawasili salama Kigoma kutekeleza majukukumu yake
Mzee Mpili angekuwa ni baba yako, je ungekuja na uzi huu?Wadau wa soka husema mpira wa miguu ni science lakini hali ni tofauti kwa upande wetu huku Tanzania, ambapo matukio ya kuwapa watu millage kupitia mgongo wa soka yametamalaki na bado hakuna maendeleo ya huo mchezo.
Waswahili husema kijiji bila wazee hakuna baraka lkn sio kwa vitendo vya kikongwe huyu ambae kwa sasa anaalikwa hadi ktk redio ambapo anaongea vitu ambavyo havina mantiki na sio vya msingi.
Naomba niwape pole wale wote wanao amini ushirikina ktk soka
Asingepata huo umaarufu wa kijingaMzee Mpili angekuwa ni baba yako, je ungekuja na uzi huu?
Kwani kautafuta?Asingepata huo umaarufu wa kijinga
SanaKwani kautafuta?
Live your lifeWadau wa soka husema mpira wa miguu ni science lakini hali ni tofauti kwa upande wetu huku Tanzania, ambapo matukio ya kuwapa watu millage kupitia mgongo wa soka yametamalaki na bado hakuna maendeleo ya huo mchezo.
Waswahili husema kijiji bila wazee hakuna baraka lkn sio kwa vitendo vya kikongwe huyu ambae kwa sasa anaalikwa hadi ktk redio ambapo anaongea vitu ambavyo havina mantiki na sio vya msingi.
Naomba niwape pole wale wote wanao amini ushirikina ktk soka
Ameshatuma watu wake na kazi imekwisha tayari.Mzee Mpili naomba kazi iendeleeee
Ficha upumbavu wako.Ndo mtajua hamjui, na ninyi tafuteni mtu wenu wa kumpa promo
Huu mchezo hauhitaji hasiraFicha upumbavu wako.
Pumbavu kabisaaa siwez kuwa na mzee kanjanja kama yuleMzee Mpili angekuwa ni baba yako, je ungekuja na uzi huu?
Stop your nonsensePumbavu kabisaaa siwez kuwa na mzee kanjanja kama yule
Baba yako ulimchaguaje hadi ukaingia kwenye mfumo wake wa uzazi?Pumbavu kabisaaa siwez kuwa na mzee kanjanja kama yule
Uwezo wake mdogo sana katika reasoningBaba yako ulimchaguaje hadi ukaingia kwenye mfumo wake wa uzazi?