Kumpa millage Mzee Mpili naona sawa na kuukubali upuuzi/ ulimbukeni

Mzee Mpili angekuwa ni baba yako, je ungekuja na uzi huu?
 
Uyo mzee ni mjinga kabisa na ana akisi ujinga wa watanzania wengi
 
Live your life
 
Mzee mpili wanasimba wana muogopa hatari....kashasema kigoma shughuli kashaimaliza🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…