Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Tuna changamoto lukuki kama taifa ambazo zinatakiwa kupatiwa suluhu na serikali kupitia vyombo vya dola na wala sio porojo za kisiasa.
Tuna majambazi, panya road na vibaka. Wanasumbua kwa zaidi ya miaka ishirini. Hapa napo tusaidiwe na akina majaliwa?
Tuna wahamiaji haramu kibao wanaishi na kufanya kazi hapa nchini. Warundi, wakenya, waganda n.k. Mbona hatujapata Majaliwa wa kuwadhibiti?
Kila kukicha pesa za umma zinatafunwa halmashauri kama njugu. Mbona hajapatikana Majaliwa wa kudhibiti?
Kupiga porojo za Majaliwa hadi Bungeni kisa tu taifa letu halina uwezo wa kuokoa raia wake ni upuuzi ambao hautasiaidia taifa leti huko mbele.
Tuna majambazi, panya road na vibaka. Wanasumbua kwa zaidi ya miaka ishirini. Hapa napo tusaidiwe na akina majaliwa?
Tuna wahamiaji haramu kibao wanaishi na kufanya kazi hapa nchini. Warundi, wakenya, waganda n.k. Mbona hatujapata Majaliwa wa kuwadhibiti?
Kila kukicha pesa za umma zinatafunwa halmashauri kama njugu. Mbona hajapatikana Majaliwa wa kudhibiti?
Kupiga porojo za Majaliwa hadi Bungeni kisa tu taifa letu halina uwezo wa kuokoa raia wake ni upuuzi ambao hautasiaidia taifa leti huko mbele.