Kumpatia Majaliwa ajira Zimamoto, kumpelekeka Bungeni na kumpatia mil 5 sio suluhu ya matatizo ya taifa letu

Kumpatia Majaliwa ajira Zimamoto, kumpelekeka Bungeni na kumpatia mil 5 sio suluhu ya matatizo ya taifa letu

Mkuu, ajali ya ndege ya Precision Air ambayo ililazimika kutua kwa dharura katika ziwa Victoria, iliambatana na changamoto kubwa ya ukoaji wa abiria waliokuwa ndani yale. Hii inatokana na vifaa duni vilivyokuwepo katika eneo husika.

Hakukuwa na namna zaidi ya wavuvi waliokuwapo kutoa msaada wa uokoaji. Ushujaa wa bwana mdogo Majaliwa ndipo hapo ulipothibitika.

Kile kitemdo cha uthubutu na ushujaa wake wa kupiga mbizi na kwenda kuvunja mlango wa ndege, hali iliyopelekea zaidi ya abiria 20 kuokolewa ni kitu kinachostahili pongezi na kuthaminiwa kitaifa.

Mbona tunaona katika picha uwepo wa askari katika eneo husika, na ambao walishindwa kufanya kitendo kama chake, ama kuthubutu kwenda kuungana naye katika zoezi la uokoaji majini!?

Suala la uwepo wa athari katika jamii kutokana na matendo ya vibaka, majambazi, udangaji, matumizi ya madawa ya kulevya na uhalifu wa aina yoyote ile, si ya dharura. Hilo ni jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama. Ukiyaona yanatamalaki basi tambua vyombo husika haviwajibiki ipasavyo, ama la, navyo ni sehemu ya wanufaika wakuu wa matendo hayo ya kiovu.
Ok
 
Yaani wewe Kwako pupuchi ndio kila kitu🤔 Ukiachilia mbali hicho kiungo ulishajiuliza uliletwa duniani kuja kufanya nini😆😆😆

Shtuka ndugu, hakuna anayekumbukwaga kwenye historia ya familia, ukoo, taifa wala dunia kwa kuchakata pupuchi😂😂😂
wapo wengi tu wanaokumbukwa kwa kuchakata papuchi e.g. Mobutu Seseseko Kuku wa Zabanga ambaye anakumbukwa kuchakata papuchi hadi akamuuwa waziri wake na kisha Kumuoa mke wake au hujui? papuchi ni dili wewe😂😂😂😂😂.
 
wapo wengi tu wanaokumbukwa kwa kuchakata papuchi e.g. Mobutu Seseseko Kuku wa Zabanga ambaye anakumbukwa kuchakata papuchi hadi akamuuwa waziri wake na kisha Kumuoa mke wake au hujui? papuchi ni dili wewe😂😂😂😂😂.

Zikasaidia nini kwa nchi zao na dunia!?
 
Tuna changamoto lukuki kama taifa ambazo zinatakiwa kupatiwa suluhu na serikali kupitia vyombo vya dola na wala sio porojo za kisiasa.

Tuna majambazi, panya road na vibaka. Wanasumbua kwa zaidi ya miaka ishirini. Hapa napo tusaidiwe na akina majaliwa?

Tuna wahamiaji haramu kibao wanaishi na kufanya kazi hapa nchini. Warundi, wakenya, waganda n.k. Mbona hatujapata Majaliwa wa kuwadhibiti?

Kila kukicha pesa za umma zinatafunwa halmashauri kama njugu. Mbona hajapatikana Majaliwa wa kudhibiti?

Kupiga porojo za Majaliwa hadi Bungeni kisa tu taifa letu halina uwezo wa kuokoa raia wake ni upuuzi ambao hautasiaidia taifa leti huko mbele.
Swala hapa sio dogo kuokoa watu, maana hakua peke yake, swala walitaka kutengeneza story na kuikuza ila kufunika Mambo mengine ya msingi katika Taifa hili, ni bahati mbaya Sana mpango wao umebuma
 
Back
Top Bottom