Kumpeleka mtoto shule yenye ada kubwa ni kupoteza tu hela


Asante
 

Mpeleke nilishawai kusikia
 
Uwezo unao lakini wa kupeleka IST - mil 74 kwa mwaka? Mi sina uwezo. Ningekuwa nao, ningewapeleka.
Una mawazo kama yangu.

Mi sipeleki mtoto shule binafsi.

Nitamkazania hukuhuku shule za serikali atafaulu vizuri tu.
 
Unadomesha mtoto shule ya madarasa ya tozo hakuna ada

Hata uniform mpya unakuwa mgumu kununua halafu unajisifu unasomesha [emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
poverty mentality at its core. akili za watu mafukara.
 
çok güzel👍
 
Najazia, hivi unampelekaje mtoto wa miaka 6 boarding..? Yani nimeshindwa kupata majibu katika hili!
 
Kipaumbele changu ni mwanangu/wanangu waishi maisha bora kuanzia elimu na makazi km hela ninayo nitamsomesha shule ya gharama yoyote na hata akikaa nyumbani nitamuhudumia mpaka atakapo pata maisha yake

Hongera
 
Ni umasikini tu mkuu, sidhani kama kuna mzazi mwenye pesa asiyependa mtoto/watoto wake kusoma katika mazingira mazuri na rafiki kwa taaluma. Hasa kwa kipindi hiki cha sasa.
 
Tuendelee kutafuta hela ndugu zangu mimi mwenyewe ni muhitimu wa chuo ambaye sikupata kazi niliyosomea, lakini hii haiondoi ukweli kwamba natamani nipate pesa Mwanangu asome shule yenye mazingira mazuri na malezi bora. Kuhusu watoto kumaliza na kukaa tu hii pia inachangiwa na uwezo wa wazazi, mzazi kama uwezo unao utakuwa umetengeneza miradi ya kutosha ambayo hata wanao wakikosa ajira serikalini waitaisimamia.# Kinacho tutesa wengi ni umasikini tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…