Nilifuatilia tamko la mwembe YangaInaonekana hukufuatilia bunge kipindi hicho.Nenda kasome ripoti ya mwakyembe inasemaje? Pia mkumbuke kurudiaha 1.5T
Sent using Jamii Forums mobile app
zito jamani anatia huruma kwa cheap kiki anazozitafuta.
Fisadi mkuu yupo Chadema ...na ufisadi wake ulithibitishwa na Bunge
wanakuja na siasa nyepesi kabisa!
Bwana bwana [emoji119]Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.
Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.
By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.
Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Nyie akina sabaya majangili,hamtaishi salama kwa ujangili na uporaji mliotufanyiaKatika hili mmefeli sana
Ahahahaaaa safari hii mtajua kuwa mlikuwa hamjui kitu zaidi ushamba wenuUlivyokwapua za wanyonge ulidhani hazitarudi?