Kumsingizia Rais Magufuli ufisadi haiwezi kumzuia kupambana na mafisadi

Kumsingizia Rais Magufuli ufisadi haiwezi kumzuia kupambana na mafisadi

Umemsikiliza PolePole?Je ukimuuliza Assad anaeeza kusema 1.5 trilioni zilichukuliwa na mtu au taasisi flani?usiwe mdaku!
Kwani Assad si yupo hai?

Si mkamuulize?

Ninyi CCM ni wezi wa pesa na mali za umma kwa miaka mingi...hakuna Mtanzania asiyejua.
 
Hivi Jingalao nikuulize kaswali kadogo tu, wenzio waliopigwa ganzi wameanza kupata fahamu wanarejea kundini nafikiri unawafahamu hivi wewe utapona lini au jina linaumba tabia?
Sijawahi kuwa na wenzangu mimi!!
Always nasimama kwenye ukweli na maslahi ya Taifa na wanyonge
 
Simwamini tena...eti rais wa wanyonge?? Mbona kwenye 1.5 trilioni ameshikwa na kigugumizi??
 
mahakama ya mafisadi yaweza kuja kuwa tega nikutege
 
Uko sahihi Mkuu. By the way sasa hiviwameamua kusemea 1.5 trillion kwa sababu mbowe kapiga 24 bln kwa miaka miwili na wanaongea sana ili kuficha uovu huu. Zitto kala hela ya chama hadi kakimbia kupeleka ripoti ya mahesabu kwa CAG. Na pia kashirikiana na halmashauri yake kupiga hela hadi wamepata hati chafu. Na yeye anajificha kwenye 1.5 ili asionekane. Kuna mambulula amewapata ila kwa sisi werevu hamtupati ng'oooo. Hakuna wanasiasa Tanzania ila kuna waendesha Saccos tu na wapiga dili.
[HASHTAG]#bringbackour[/HASHTAG] trillion#...huwezi kutetea uzinzi wako eti mbona ata jilani yangu huwa anazini nje ya ndoa??
 
Fisadi mkuu yupo Chadema ...na ufisadi wake ulithibitishwa na Bunge
Hivi ile mahakama ya mafisadi imemfunga nani?...mwaka wa tatu sasa imefulia wateja?...yaani nyie majamaa maongo hatariii......sasa wananchi wamewajua maana mlikiwa mnajificha nyuma ya uzalendo kumbe ndo mafirauni ya ufisadi hatariii....#bringbackourtrillion#.....
 
Mshakunywa maji ya bendera ya kijani nyie,nguo kijani,mashuka kijani,damu kijani,ngozi kijani,akili kama mmekula mjani,
 
Kwani Assad si yupo hai?

Si mkamuulize?

Ninyi CCM ni wezi wa pesa na mali za umma kwa miaka mingi...hakuna Mtanzania asiyejua.
Aliyepotosha umma ni Assad?Mmeanza kukimbia kivuli chenu?
 
Njaa inafanya watu wasifikirie. Siku hizi baada ya kuona huku wameka watu wa vijiweni sitembeleo sana.
Ila nimegundua hujakunywa chai mpaka sasa. Pole sana.
we mfipa kumbe upooo... tulipeni 1.5 yetu mliyopiga ndani ya miaka 2 tu... je ikifika miaka 5 mtafikisha ngapi?
26042018 inakuhusu
 
Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.

Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.

By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.

Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Tuambie hizo hela ziliko tunyamaze suala si kujua tu.Wala hatunaga ubaya na kipenzi chako
 
Back
Top Bottom