Kumsingizia Rais Magufuli ufisadi haiwezi kumzuia kupambana na mafisadi

Kumsingizia Rais Magufuli ufisadi haiwezi kumzuia kupambana na mafisadi

Kupambana na ufisadi hakumpi mtu.haki ya kufanya ufisadi
 
Kupambana na ufisadi hakumpi mtu.haki ya kufanya ufisadi
Mkuu huyu namjua sana na nimeandika sana kuwaelimisha watu kuwa hawamjui kuwa ni mwizi lakini hawakulewa na bado mtalisikia la SGR muda si mrefu
 
We subiri, Magufuli anakuja kuwapiga kombora moja tu wote chaliii!

Sasa hivi anangojea waendelee kujifariji na hili ili hoja ya maandamano iendelee kuwa kapuni..
 
Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.

Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.

By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.

Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Naona wanufaika mapovu yanawatoka tunataka kujua 1.5 t zimekwenda wapi
 
Mwisho wa siku mtasema ripoti ya CAG imeandaliwa na Chadema.
 
Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.

Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.

By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.

Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Correct!
 
Unadhani huyu mwizi kama kweli hakuiba angeweza kukaa kimya kwa kiasi hichi. Nadhani kila aliyemsema ni mwizi angeshapata joto. Sio huyo.
 
Mwenye funguo ya store, kitu kikipotea ndiyo wa kwanza kushukiwa, ulitaka tumsakame Mkewe Janeth au mpishi wake Ikulu! Leteni maelezo ziko wapi 1.5 trillions, period.
 
Bora hata wale tunajua walibeba kwenye sandarusi, viroba, magunia... Hawa wa sasa sijui mmetupiga vipi!
 
Bora hata wale tunajua walibeba kwenye sandarusi, viroba, magunia... Hawa wa sasa sijui mmetupiga vipi!
 
Anasingiziwaje wakati yeye ndio anakaa na fuko la hela zetu,
Halafu hapo hapo 1.5 t haionekani? vita yake ya ufisadi haina maana wakati na yeye ni fisadi papa,
Mbaya zaidi.CAG ndo kachunguza kagundua hayo.
CHA AJABU LAWAMA TUNAPEWA UKAWA.
mazuri yao,mabaya yetu.
 
Nakutaka wewe mybibi[emoji87]
Nimeskia raha kunijibu my bibiyoo[emoji87]

Naelewa viongozi wenu mliowafuata kimkumbo wanatwnda ya ajabu.. tena hata mengi hakuwaulizi mpo tu kuonyesha nani mnamuhusudu zaidi.. naye ni.. JPM kiongozi mnayelala munamuwazia.. sema oyeeeeeee
 
Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.

Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.

By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.

Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.

Ni kweli kwa sababu "All animals are equal, but some are more equal".
 
Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.

Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.

By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.

Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Courtesy Copy to CAG
 
Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.

Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.

By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.

Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Wewe kwa hiyo hakuna wizi? ishu za ufisadi wa trln 1.5 yanashughulikiwa na taasisi rasmi, in fact Zitto kama alivyo ni TAASISI rasmi!
 
Back
Top Bottom