Kumtambulisha Nusrat Hanje kama mwakilishi wa BAVICHA huko Nyamagana ni uongo wa wazi na ni kumdanganya Rais Samia

Rais bado anaruhusu kudanganywa waziwazi namna hii na hao wanasiasa? awe makini sana na haya mambo - unapofikia kumdanganya Rais wetu ni sawa unaudanganya umma wa watanzania. Huyu dada wa Covid 19 ashatimuliwa uanachama muda sana na hao wenzake 18 !!

Intelligensia ya Rais msiruhusu haya mambo ya kumdanganya Rais - timizeni wajibu wenu.
 
Once ukikubali kutumika, utakuwa wa kutumika tu! Heshima yote ambayo Nusrat Hanje aliijenga aliibomoa kwa tumbo lake mwenyewe! Ona sasa anaanza kutumika kuhadaa umma kwa namna ya hovyo kabisa. Nusrat Hanje sio tu kwamba sio BAVICHA, bali sio hata mwanachama wa Chadema. Ona Hanje sasa ameanza kutumika kumchafua mama yetu Samia!
 
Usaliti ni laana mbaya sana
 
Covid 19 hawana aibu kwa kweli, sijui nani anawapa kibri hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…