Kumtangaza mshindi wa mamilion kwenye vyombo vya habari ni kumuweka kwenye hatari kubwa sana

Kumtangaza mshindi wa mamilion kwenye vyombo vya habari ni kumuweka kwenye hatari kubwa sana

polokwane

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2018
Posts
3,361
Reaction score
5,842
Ndio hivyo ndivyo ninavyo weza kusema hasa ha makampuni ya KUBET maana baada tuu ya kutanganzwa misuko suko inaanza mara kabambikiwa kesi, mara matapeli wanamsakama, mara majambazi wanamuwinda nk

Nadhani itafutwe njia mbadala ambayo taarifa zza msindi haziwi exposed sana kwenye jamii maana baada ya ushindi anakabiliana na mambo mengi sana huenda hata huo ushind asiufaid.
 
Ndio hivyo ndivyo ninavyo weza kusema hasa ha makampuni ya KUBET maana baada tuu ya kutanganzwa misuko suko inaanza mara kabambikiwa kesi, mara matapeli wanamsakama, mara majambazi wanamuwinda nk

Nadhani itafutwe njia mbadala ambayo taarifa zza msindi haziwi exposed sana kwenye jamii maana baada ya ushindi anakabiliana na mambo mengi sana huenda hata huo ushind asiufaid.
lengo ni kuwaonyesha watu kuwa ni kweli watu wanashinda ili wapate wanaobet wengi, ni marketing hiyo
 
Ndio hivyo ndivyo ninavyo weza kusema hasa ha makampuni ya KUBET maana baada tuu ya kutanganzwa misuko suko inaanza mara kabambikiwa kesi, mara matapeli wanamsakama, mara majambazi wanamuwinda nk

Nadhani itafutwe njia mbadala ambayo taarifa zza msindi haziwi exposed sana kwenye jamii maana baada ya ushindi anakabiliana na mambo mengi sana huenda hata huo ushind asiufaid.
Usemayo ni Kweli mkuu sema iyo ni Kama Marketing Strategy ili Kuvutia wengi wa bet au kucheza iyo Bahati na Sibu Maana Bila kutangaza nani ataamini? pamoja na kutangazwa washindi bado kuna watu hawaamini wanasema wanapeana wenyewe kwa wenyewe itakua iyo kuficha!?


Apo hawawez ng'oo kuficha washindi mana ndio njia ya kupiga hela iyo japokua wanawaweka kwenye Risk kubwa sana washindi so wapambane na hali yao hao washindi
 
Usemayo ni Kweli mkuu sema iyo ni Kama Marketing Strategy ili Kuvutia wengi wa bet au kucheza iyo Bahati na Sibu Maana Bila kutangaza nani ataamini? pamoja na kutangazwa washindi bado kuna watu hawaamini wanasema wanapeana wenyewe kwa wenyewe itakua iyo kuficha!?


Apo hawawez ng'oo kuficha washindi mana ndio njia ya kupiga hela iyo japokua wanawaweka kwenye Risk kubwa sana washindi so wapambane na hali yao hao washindi

Inaelekea mleta mada hauelewi vizuri mfumo wa CAPITALISM. Hao wanaochezesha hiyo michezo, wanawatumia washindi kama "chambo" cha kuwanasia wajinga wajinga wengine! Wao lazima wakutangaze kwa nguvu zote ili biashara yao izidi kushamiri. Swala la kwamba baada ya kukutangaza ni nini kitakupata, hiyo ni juu yako wewe ndio utapambana na hali yako. Kwamba utauawa na majambazi, au nini that is none of their business.
 
Ndio hivyo ndivyo ninavyo weza kusema hasa ha makampuni ya KUBET maana baada tuu ya kutanganzwa misuko suko inaanza mara kabambikiwa kesi, mara matapeli wanamsakama, mara majambazi wanamuwinda nk

Nadhani itafutwe njia mbadala ambayo taarifa zza msindi haziwi exposed sana kwenye jamii maana baada ya ushindi anakabiliana na mambo mengi sana huenda hata huo ushind asiufaid.
Na ni ushamba kucheza nicheze kimya kimya nikishinda mnanishikia mpaka na mabango kama sio uchawi ni nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio hivyo ndivyo ninavyo weza kusema hasa ha makampuni ya KUBET maana baada tuu ya kutanganzwa misuko suko inaanza mara kabambikiwa kesi, mara matapeli wanamsakama, mara majambazi wanamuwinda nk

Nadhani itafutwe njia mbadala ambayo taarifa zza msindi haziwi exposed sana kwenye jamii maana baada ya ushindi anakabiliana na mambo mengi sana huenda hata huo ushind asiufaid.
BADILI BIASHARA AU KAZI!! KWANI NI LAZIMA KUBET!
 
Huu kwetu Kwamtogole mama mmoja alishinda bahati nasibu. Alikuwa single mother wa mvulana wa miaka saba. Alitangazwa kwenye magazeti na champagne kufunguliwa.

Baada ya hapo wahuni walipanga njama za kumteka mtoto wake awalipe nusu yapesa aliyoipata. Bahati nzuri polisi walizinyaka mapema.

Kwakua pesa alikuwa nayo alitafuta nyumba sehemu ambayo hakuna aliyemfahamu akaanza maisha mapya.
 
Inaelekea mleta mada hauelewi vizuri mfumo wa CAPITALISM. Hao wanaochezesha hiyo michezo, wanawatumia washindi kama "chambo" cha kuwanasia wajinga wajinga wengine! Wao lazima wakutangaze kwa nguvu zote ili biashara yao izidi kushamiri. Swala la kwamba baada ya kukutangaza ni nini kitakupata, hiyo ni juu yako wewe ndio utapambana na hali yako. Kwamba utauawa na majambazi, au nini that is none of their business.
Nafikiri Marekani kuna Capitalism kuliko Tanzania.

Na huku Marekani wana Capitalism kiasi kwamba wamekataa juwa na sheria zote sawa nchi nzima, kuna seria nyingine, kama za mtu anaywshinda bahati nasibu, zinaamukiwa na jimbo.

Hivyo, maana yake, kwenye hili, kwa majimbo 50 ya Marekani, kuna shwria tofauti. Zinaamukiwa na majimbo.

Kuna majimbo mengine mtu akishinda bahati nasibu ana uhuru wa kukataa kutangazwa. Haya ni majimbo yanayomuweka juu mshindi kuliko makampuni ya bahati nasibu.

Kuna majimbo mengine, mtu akishinda bahati nasibu, ni lazima atangazwe.Majimbo haya yanayaweka makampuni ya bahati nasibu juu zaidi ya mtu aliyeshinda.

Kwa hivyo, tunaweza kuona hata kwenye capitalism, kunaweza kuwa na sheria tofauti, hata katuka n hi moja.

Hivyo, hili si suala la capitalism tu.

Ni suala la watu walivyoamua kuishi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio hivyo ndivyo ninavyo weza kusema hasa ha makampuni ya KUBET maana baada tuu ya kutanganzwa misuko suko inaanza mara kabambikiwa kesi, mara matapeli wanamsakama, mara majambazi wanamuwinda nk

Nadhani itafutwe njia mbadala ambayo taarifa zza msindi haziwi exposed sana kwenye jamii maana baada ya ushindi anakabiliana na mambo mengi sana huenda hata huo ushind asiufaid.
Wahusika wanaona ni njia ya kuuaminisha umma kuwa kweli kuna watu wanashinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu kwetu Kwamtogole mama mmoja alishinda bahati nasibu. Alikuwa single mother wa mvulana wa miaka saba. Alitangazwa kwenye magazeti na champagne kufunguliwa.

Baada ya hapo wahuni walipanga njama za kumteka mtoto wake awalipe nusu yapesa aliyoipata. Bahati nzuri polisi walizinyaka mapema.

Kwakua pesa alikuwa nayo alitafuta nyumba sehemu ambayo hakuna aliyemfahamu akaanza maisha mapya.
Naomba namba zake,nahitaji kumliwaza.
 
Back
Top Bottom