Simba imetukosea Sana sisi mashabiki wake kutuletea mtu wa udaku kwenye mpira wetu. Mwijaku hajui mpira hata tu kutaja wachezaji 6 wa Simba hajui pia hajui history ya team kiujumla eti awe mhamasishaji kweli? Like serious!
Kwenye press yake 99.9% kaitumia kushambulia maisha binafsi ya Manara alafu 1% kaitumia kuiongelea team Tena kwa upuuzi wa kusema anatembea uchi team ikifungwa. Jitu ambalo mpira halijui unataka akuhamasishe Nini zaidi ya upuuzi na uropokaji? Kama lengo letu nikuleta amshahamsha kwanini hata tusimchukue Masau Bwire ambaye ukiacha yeye kujua kuongea Sana lakini mpira anaujua hata Manara before hajawa msemaji wetu alikuwa mchambuzi wa mpira Tanzania.
Mwijaku ni mtu ovyo Sana hastahili nafasi yoyote pale Simba, jitu ambalo linavujisha video za ngono ana maana gani kwetu sisi? Linaropokaropoka bila facts halijui maneno gani yatumike kwenye maeneo husika.
Mtu ambaye hakubaliki na watu wengi kwa tabia yake ya uchawa na usemaji wa ovyo atamuhamasisha Nani? Simba mnamtaka kutuletea watu aina ya Juma Lokole, Babalevo kwenye soka letu? Huyu mpuuzi atatuharibia image ya team yetu ionekane uongozi mzima wenu una akili kama zake.
Kutokana na Hili jitu la kutoa maboko Wapinzani wetu watapata sehemu ya kutuazibu.
NB: Tunaomba uongozi wetu wa Simba wamtoe huyu mpuuzi kabla mambo hayajaharibika hapo badaae
Kwenye press yake 99.9% kaitumia kushambulia maisha binafsi ya Manara alafu 1% kaitumia kuiongelea team Tena kwa upuuzi wa kusema anatembea uchi team ikifungwa. Jitu ambalo mpira halijui unataka akuhamasishe Nini zaidi ya upuuzi na uropokaji? Kama lengo letu nikuleta amshahamsha kwanini hata tusimchukue Masau Bwire ambaye ukiacha yeye kujua kuongea Sana lakini mpira anaujua hata Manara before hajawa msemaji wetu alikuwa mchambuzi wa mpira Tanzania.
Mwijaku ni mtu ovyo Sana hastahili nafasi yoyote pale Simba, jitu ambalo linavujisha video za ngono ana maana gani kwetu sisi? Linaropokaropoka bila facts halijui maneno gani yatumike kwenye maeneo husika.
Mtu ambaye hakubaliki na watu wengi kwa tabia yake ya uchawa na usemaji wa ovyo atamuhamasisha Nani? Simba mnamtaka kutuletea watu aina ya Juma Lokole, Babalevo kwenye soka letu? Huyu mpuuzi atatuharibia image ya team yetu ionekane uongozi mzima wenu una akili kama zake.
Kutokana na Hili jitu la kutoa maboko Wapinzani wetu watapata sehemu ya kutuazibu.
NB: Tunaomba uongozi wetu wa Simba wamtoe huyu mpuuzi kabla mambo hayajaharibika hapo badaae