Francis fares Maro
JF-Expert Member
- Jun 20, 2021
- 1,227
- 1,339
Mtu wa hovyo ameajiriwa kwenye media house kubwa hapo nchini kwenu!!!... Wakati mwengine vitu na kazi msizozijua mziache ziendelee hata mkiandika kadri mtakavyo tayari ana pata ujira wake!!!Mwijaku nimtoa boko Sana Hana tofauti na mwakalebela kama Simba nia yao ni hiyo uliosema wamechemka Jana kwenye insta story yake alipost wakiwa wanaongea mambo ya ngono yeye na mke wake Mwijaku ni mtu ovyo Sana subiri aanze mambo yake yale utavyoona image ya Simba itavyoanza kuharibika wewe mwenyewe utaanza kumkataa
Mbona hata jumalokole pia nae kaajiliwa kwenye media kubwa lakini hayondoi kuwa ni watu wa ovyo ndiomaana tangu ajiliwe kwenye leo tena kipindi kilipoteza mvuto tofauti na kipindi ambacho hayupo hapoMtu wa hovyo ameajiriwa kwenye media house kubwa hapo nchini kwenu!!!... Wakati mwengine vitu na kazi msizozijua mziache ziendelee hata mkiandika kadri mtakavyo tayari ana pata ujira wake!!!
Kipindi kupoteza mvuto ni kukosa matangazo au hujui?!!.. kipindi kilicho kosa mvuto hata wewe Una fwatilia!!!...Hebu badilisha namna yako ya kufikiriMbona hata jumalokole pia nae kaajiliwa kwenye media kubwa lakini hayondoi kuwa ni watu wa ovyo ndiomaana tangu ajiliwe kwenye leo tena kipindi kilipoteza mvuto tofauti na kipindi ambacho hayupo hapo
Mbona unamtetea Sana Mwijaku una undugu nae niniKipindi kupoteza mvuto ni kukosa matangazo au hujui?!!.. kipindi kilicho kosa mvuto hata wewe Una fwatilia!!!...Hebu badilisha namna yako ya kufikiri
Watanzania zote ni nduguMbona unamtetea Sana Mwijaku una undugu nae nini