Kumtofautisha Rais Kikwete na wabunge wa CCM katika swala la katiba mpya ni kujidanganya!

Kumtofautisha Rais Kikwete na wabunge wa CCM katika swala la katiba mpya ni kujidanganya!

Japokuwa Katiba inaruhusu hayo yote, ifikie hatua kila mtanzania apimwe kiwango cha upunguani na watakaokuwa extreme kama huyu Kitila na wenzake mazezeta ndani ya CHADEMA basi wasipewe hata nafasi ya kucomment kwenye public



Kwaahiyo wewe Luewa ni zaidi ya katiba?



quote_icon.png
By adolay
1. katiba ya Tanzania kisheria inamtambua kitila kama mtanzania au mnyarwanda, kama mtanzania fafanua kauli yako hapo juu....

2. Katiba ya Tanzania inatambua uhuru wa kujiunga na chama cha siasa na uhuru wa kutoa maoni, Nini tatizo kwa Kitila


quote_icon.png
By Lusewa
KIKWETE amechaguliwa na Watanzania na si mapunguani waliopo ndani ya CHADEMA kama huyu Kitila Mkumbo
 
si lazima kujibu kila unachohitaji


mtazamo huu nani punguani kati yako wewe usiyeweza kujibu ulichokizusha na kushindwa kukitetea na Kitila aliyekaa kimya

quote_icon.png
By Lusewa
hata kama alishinda kwa kura moja lakini ndo Rais wetu



nikakuuliza unasemaje kuhusu kauli yako hapa chini


quote_icon.png
By Lusewa
kama suala la katiba ni zaidi ya vyama, iweje muungane vyama vitatu tu vyenye wanachama chini ya milioni 5 wakati watanzania wote ni zaidi ya milioni 44?
 
wewe ni msemaji wa MKUMBO? Namtaka yeye mwenyewe na udaktari wake nimvue nguo, sijui hiyo Phd yake kaipatia wapi hiyo.

achana na Dr mimi wa shule za kata natosha Tuanze na hapa


Jichola3

Hujaelewa kabisa hoja ya Dr Kitila Mkumbo.

1.Juzi kuhusu syria David cameroon, yeye kama waziri mkuu wa England aliamua kuishabulia syria.

alipofika bungeni akashinikizwa kubadili msimamo wake, kwasababu anaheshimu mawazo ya waengereza akabadili.

2. USA pamoja na Katiba kumruhusu Obama kufanya maamuzi ya kuingia vitani moja kwa moja, kwa busara na hekima bado ilibidi kutafuta ushauri na msimamo wa congress- bado wangeweza kumshinikiza aachane na kuipiga syria


Kikwete yupo pale kwa kura za watanzania, watanzania ndiyo walomwajiri na wanahaki kikatiba kumwambia wanataka

nini,
anaweza kuwapuuza na kufanya anavyoona yeye inafaa-matokeyo ya mambo ya kulazimisha ni machafuko.

Jichola3 unaemaje?
 
mtazamo huu nani punguani kati yako wewe usiyeweza kujibu ulichokizusha na kushindwa kukitetea na Kitila aliyekaa kimya

quote_icon.png
By Lusewa
hata kama alishinda kwa kura moja lakini ndo Rais wetu



nikakuuliza unasemaje kuhusu kauli yako hapa chini


quote_icon.png
By Lusewa
kama suala la katiba ni zaidi ya vyama, iweje muungane vyama vitatu tu vyenye wanachama chini ya milioni 5 wakati watanzania wote ni zaidi ya milioni 44?

kwa hiyo wewe umeamua kumjibia au wewe ndo Kitila Mkumbo? Nipe jibu
 
kwa hiyo wewe umeamua kumjibia au wewe ndo Kitila Mkumbo? Nipe jibu

Umezusha hapo chini kwamba vyama vya wanachama chini ya mil 5 havifai kuwakilisaha watanzania. hapa chini

umeandika nini? napo juu unataka kujuwa mimi ni nani......mimi ni adolay hata kusoma hujuwi?




quote_icon.png
By Lusewa
hata kama alishinda kwa kura moja lakini ndo Rais wetu


nikakuuliza unasemaje kuhusu kauli yako hapa chini


quote_icon.png
By Lusewa
kama suala la katiba ni zaidi ya vyama, iweje muungane vyama vitatu tu vyenye wanachama chini ya milioni 5 wakati watanzania wote ni zaidi ya milioni 44?

quote_icon.png
By adolay


kwa mtazamo huu nani punguani kati yako wewe ndugu Lusewa usiyeweza kujibu ulichokizusha na kushindwa kukitetea na Kitila aliyekaa kimya
 
CHADEMA wana Rais wao anaitwa Dr WILBROAD SLAA. Ndo maana alipigiwa mizinga 21 kule zambia

hoja yetu hapa siyo Dr Slaa, naomba usiwe punguwani......

quote_icon.png
By Lusewa
Ni upunguani kwa Dr Kama wewe kudhani kuwa Rais anaweza kushinikizwa kwa kila jambo. vinginevyo hakuna umuhimu wa kuwa na Rais

Lusewa

Hujaelewa kabisa hoja ya Dr Kitila Mkumbo.

1.Juzi kuhusu syria David cameroon, yeye kama waziri mkuu wa England aliamua kuishabulia syria.

alipofika bungeni akashinikizwa kubadili msimamo wake, kwasababu anaheshimu mawazo ya waengereza akabadili.

2. USA pamoja na Katiba kumruhusu Obama kufanya maamuzi ya kuingia vitani moja kwa moja, kwa busara na hekima bado ilibidi kutafuta ushauri na msimamo wa congress- bado wangeweza kumshinikiza aachane na kuipiga syria


Kikwete yupo pale kwa kura za watanzania, watanzania ndiyo walomwajiri na wanahaki kikatiba kumwambia wanataka

nini,
anaweza kuwapuuza na kufanya anavyoona yeye inafaa-matokeyo ya mambo ya kulazimisha ni machafuko.



Lusewa
Jadili hili kama mwenye akili na siyopunguwani......
 
Unakosea sana. Kumbuka hata wazo la katiba mpya CCM hawakuwa nalo lakini ni JK aliyewaburuza baada ya yeye naye kubanwa na shinikizo la umma. Hata hapo tulipofika bado JK ana uwezo wa kuwaburaza CCM wenzake akielewa hoja ni nini na kama kweli dhana ya katiba anaielewa na kuikubali. Ni muhimu sana JK aendelee kushinikizwa ili aendelee kujitoa mhanga kwa ajili ya nchi na kuachana na maslahi finyu ya chama chake. Katiba Mpya ni jambo pekee alilobaki nalo katika kuweka alama ya kudumu ya utawala wake. Likimponyoka hili basi tena atasaulika mapema sana baada ya utawala wake kwisha.​

Kitila Mkumbo exactly! Huo unalosema ndio ukweli!
 
Raisi atakapofuata maslahi ya chama Mungu ataingilia kati, na watapukutika kama majani yaliyokauka juu ya mti. Ameni.
 
Ulikuwa sawa kabisa Mkuu. Kikwete ni MNAFIKI.

Mimi nawashauri viongozi wa vyama vya CHADEMA,NCCR na CUF wasiwe na matumaini kwamba Raisi Kikwete atawasikiliza na kwamba hatasaini muswada wa sheria ya mabadiliko ya katiba.

Raisi Kikwete ndie mwenyekiti wa CCM taifa na huu ni mkakati wa CCM kwahiyo wanachofanya wabunge wa CCM ni kutekeleza tu mkakati wa chama chao na hivyo Kikwete kutosaini itakuwa ni sawa na kuwasaliti wana CCM wenzake wakiwemo hao wabunge wa CCM waliopitisha muswaada huo.

Pia ifahamike kuwa serikali ya Kikwete imekuwa ikitegemea wabunge wa CCM kupitisha mambo yake ndani ya bunge na kwa maana hiyo si rahisi kwa Raisi Kikwete kuwaudhi wabunge ambao siku zote ndio tegemeo lake ndani ya bunge.

Atakachofanya Kikwete sana sana ni labda kuwaita wapinzani Ikulu kama ushahidi tu na kuwaridhisha licha ya kauli ya Wassira kwamba hatutawaita tena wapinzani Ikulu.Atakaa nao Ikulu wataongea lakini mwisho wa siku atasaini tu kama alivyowahi kufanya siku za nyuma juu ya swala hilo hilo la Katiba alipokutana na CHADEMA.

Raisi Kikwete siku zote ni mtu wa kuangalia upepo na huu muungano wa wapinzani juu ya katiba si wa kuupuza na hivyo ile kauli ya waziri Wassira haitafanyiwa kazi.Na pia naamini ile kauli ya Wassira ni kauli ya Kikwete.

Tusijdanganye,hakuna tofauti kati ya Kikwete na wabunge wa CCM katika swala la katiba.Kama ni kutosaini ni lazima Kikwete ashauriane na chama chake na si vinginevyo hata ikibidi kwa siri.
 
Back
Top Bottom