the kind
JF-Expert Member
- Nov 6, 2019
- 865
- 707
Subiri na wewe ukaongoze malaika,halafu msisahau kufagilia makaburini pale chatoNdo matatizo yenu masuala ya kitaifa unaingiza Dini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri na wewe ukaongoze malaika,halafu msisahau kufagilia makaburini pale chatoNdo matatizo yenu masuala ya kitaifa unaingiza Dini.
Aisee, wewe ni mnoma sana a.k.a mdedile. Yaani mpaka umewakopi vigogo hao watatu? Unataka hao vigogo wawashughulikie barabaraUhuru usio na mipaka ni uhaini.
Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.
Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.
Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.
Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.
cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Kuuza bandari na loliondo ndio uhaini,tena nchi nyingine unanyongwa...hao uliowatag hawana lolote la kufanya mana nao ni mazuzu kama weweUhuru usio na mipaka ni uhaini.
Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.
Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.
Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.
Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.
cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
nani amemtukana asiye na adabu huyo? zaidi ya Mange aliyeleta allegations na matusi ya nguoni, hakuna mwingine. halafu, katafute mwanasheria akufafanulie kwenye Penal code nini maana ya treason.Uhuru usio na mipaka ni uhaini.
Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.
Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.
Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.
Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.
cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Hebu tupe mfano wa matusi unayodai ya kumtukana Rais!! Mimi ninachojua ni kwamba tusi kubwa kwa Rais ni kumsifu wakati alichokifanya kinahitaji lawama wala si sifa!! Hilo mni tusi kubwa sana!! ni kumfanya yeye kuwa ni mjinga!! Mfano: Ukikutana na mtu amebeba makopo kisha unamsifu kuwa amependeza wakati siyo ni kwamba unamkebehi!! Wewe ndiwe tukutuhumu kwa kumkebehi rais!! mnampotosha badala ya kumwambia ukweli!! Mnamfanya rais awe kwenye mstari mmoja na sultan Mangungo aliyeuza nchi yake kwa bei ambayo wala haikutajwa!! Ndivyo mkataba wa bandari ulivyo!! Unachukuwa bandari zetu jumla bila kutaja sisi tutapata nini!! Wanaomlaumu rais katika hili ndio wanaompenda!!Uhuru usio na mipaka ni uhaini.
Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.
Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.
Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.
Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.
cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Mbona wakati anatukanwa Magufuli hatukuona ukiandika hivyo,hivi unajaua maana ya uhaini au unasumbuliwa tu na uchawa., weka na namba yako ya simu basi huenda wakakukumbuka.Uhuru usio na mipaka ni uhaini.
Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.
Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.
Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.
Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.
cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Uhuru usio na mipaka ni uhaini.
Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.
Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.
Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.
Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.
cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Hebu mkuu kuwa straight.Uhuru usio na mipaka ni uhaini.
Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.
Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.
Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.
Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.
cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Wewe kenge tujaribu mara ngapi? tumeshauwasha moto na kamwe hautazima sasa fanyeni ujinga wenujaribu sasa
Utakuwa umepungukiwa kitu kichwani.Uhuru usio na mipaka ni uhaini.
Una maana ya mama wa kambo anayetaka kuuza nchi yetu kwa waarabu?Uhuru usio na mipaka ni uhaini.
Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.
Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.
Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.
Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.
cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Poa poa mke wangu….. unakitwa mtwango
Uhuru usio na mipaka ni uhaini.
Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.
Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.
Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.
Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.
cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari