๐๐๐๐๐Thread 'Kama humfikishi mwanamke kileleni hawezi kuwa msiri wako' Kama humfikishi mwanamke kileleni hawezi kuwa msiri wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐Thread 'Kama humfikishi mwanamke kileleni hawezi kuwa msiri wako' Kama humfikishi mwanamke kileleni hawezi kuwa msiri wako
Wanaume dhaifu ndio wanawashobokeaHaina shida maana wapo wenzako wanaotushobokea, uzuri ni kwamba sio wote wanafanana na wewe
Ndo hao tunaowapenda rafiki yangu๐Wanaume dhaifu ndio wanawashobokea
Mnawapenda kwa sababu mnawachuna washamba wa mbususuNdo hao tunaowapenda rafiki yangu๐
NI kweli. Wenye pesa ndo mpango mzima. Sa unakuwa na mtu pesa hana, hakushobokei yupo yupo tu, wa kazi gani?Mnawapenda kwa sababu mnawachuna washamba wa mbususu
Mbususu zimekuwa cheap sana wajinga ndio mnawala pesaNI kweli. Wenye pesa ndo mpango mzima. Sa unakuwa na mtu pesa hana, hakushobokei yupo yupo tu, wa kazi gani?
Raha ya mapenzi kushobokeana.
Kupanga ni kuchagua ..Mbususu zimekuwa cheap sana wajinga ndio mnawala pesa
Uko sahihi mkuuMadogo wanaendeshwa na Wanawake sana.
NIMEONA VYEMA KUWASHTUA ILI WAJITAMBUE.
Nimechagua kutomtukuza mwanamkeKupanga ni kuchagua ..
Sawa baba..kazanaNimechagua kutomtukuza mwanamke
AminaSawa baba..kazana
kumtukuza mwanamke ni alama ya mahabaHabari zenu Wakuu,
Nimekuwa nikiona nyuzi tofauti zikimuongelea Mwanamke kama mtu mwenye uhitaji na mwenye haki ya kutimiziwa kila analotaka kutoka kwa Mwanaume.
Mabandiko ni mengi sana eg. Mwanaume pesa, Mwanaume mashine, Mwanaume kuhonga n.k kiasi kwamba imesababisha wanawake waone wanahaki ya kupata kilakitu kizuri kutoka kwa Mwanaume na wakati wao wahafanyi the same kwetu.
Sio ajabu leo ukakutana na Mwanaume anahangaika kutafuta Dawa za kukuza maumbile ili amridhishe Mwanamke ambae ana sehemu kubwa za siri zilizoingiliwa na wanaume zaidi ya 20.
Vijana wanahangaika kilasiku kununua Viagra na madawa ya kuongeza nguvu za kiume ili tu asifiwe na Mwanamke kuwa anajua kunanii kitandani.
Tabia hii ya kuwatukuza wanawake inapelekea wanaume kuteseka sana na wengine kufa ili kuwatimizia wanawake mahitaji yao (UTUMWA).
Jambo baya ni kwamba sisi wanaume hatuongelewi na wanawake kama tunavyowaongelea wao (KUWATUKUZA).
Naamini hujawahi kusikia Mwanamke akisimama na kusema "Mwanamke Bikra bwana" au "Mwanamke heshima" ila ni rahisi kukutana na Mwanaume anasema mwanaume kuhonga bwana n.k.
Ni dhahiri kuwa thamani ya Mwanaume inadidimia siku baada ya siku, na kama hatutokuwa makini basi wanawake watatutumia kama Wapumbavu na kutudharau sana.
Ushauri: Fanya kilichondani ya uwezo wako, lakini usiruhusu kujitesa kwasababu ya kiumbe ambacho hakipo tayari kujitesa kwaajili yako.
Namtukuza sana mama yangu na mke wanguHabari zenu Wakuu,
Nimekuwa nikiona nyuzi tofauti zikimuongelea Mwanamke kama mtu mwenye uhitaji na mwenye haki ya kutimiziwa kila analotaka kutoka kwa Mwanaume.
Mabandiko ni mengi sana eg. Mwanaume pesa, Mwanaume mashine, Mwanaume kuhonga n.k kiasi kwamba imesababisha wanawake waone wanahaki ya kupata kilakitu kizuri kutoka kwa Mwanaume na wakati wao wahafanyi the same kwetu.
Sio ajabu leo ukakutana na Mwanaume anahangaika kutafuta Dawa za kukuza maumbile ili amridhishe Mwanamke ambae ana sehemu kubwa za siri zilizoingiliwa na wanaume zaidi ya 20.
Vijana wanahangaika kilasiku kununua Viagra na madawa ya kuongeza nguvu za kiume ili tu asifiwe na Mwanamke kuwa anajua kunanii kitandani.
Tabia hii ya kuwatukuza wanawake inapelekea wanaume kuteseka sana na wengine kufa ili kuwatimizia wanawake mahitaji yao (UTUMWA).
Jambo baya ni kwamba sisi wanaume hatuongelewi na wanawake kama tunavyowaongelea wao (KUWATUKUZA).
Naamini hujawahi kusikia Mwanamke akisimama na kusema "Mwanamke Bikra bwana" au "Mwanamke heshima" ila ni rahisi kukutana na Mwanaume anasema mwanaume kuhonga bwana n.k.
Ni dhahiri kuwa thamani ya Mwanaume inadidimia siku baada ya siku, na kama hatutokuwa makini basi wanawake watatutumia kama Wapumbavu na kutudharau sana.
Ushauri: Fanya kilichondani ya uwezo wako, lakini usiruhusu kujitesa kwasababu ya kiumbe ambacho hakipo tayari kujitesa kwaajili yako.
Mwenye masikio na asikie.hii imeenda mkuu.Habari zenu Wakuu,
Nimekuwa nikiona nyuzi tofauti zikimuongelea Mwanamke kama mtu mwenye uhitaji na mwenye haki ya kutimiziwa kila analotaka kutoka kwa Mwanaume.
Mabandiko ni mengi sana eg. Mwanaume pesa, Mwanaume mashine, Mwanaume kuhonga n.k kiasi kwamba imesababisha wanawake waone wanahaki ya kupata kilakitu kizuri kutoka kwa Mwanaume na wakati wao wahafanyi the same kwetu.
Sio ajabu leo ukakutana na Mwanaume anahangaika kutafuta Dawa za kukuza maumbile ili amridhishe Mwanamke ambae ana sehemu kubwa za siri zilizoingiliwa na wanaume zaidi ya 20.
Vijana wanahangaika kilasiku kununua Viagra na madawa ya kuongeza nguvu za kiume ili tu asifiwe na Mwanamke kuwa anajua kunanii kitandani.
Tabia hii ya kuwatukuza wanawake inapelekea wanaume kuteseka sana na wengine kufa ili kuwatimizia wanawake mahitaji yao (UTUMWA).
Jambo baya ni kwamba sisi wanaume hatuongelewi na wanawake kama tunavyowaongelea wao (KUWATUKUZA).
Naamini hujawahi kusikia Mwanamke akisimama na kusema "Mwanamke Bikra bwana" au "Mwanamke heshima" ila ni rahisi kukutana na Mwanaume anasema mwanaume kuhonga bwana n.k.
Ni dhahiri kuwa thamani ya Mwanaume inadidimia siku baada ya siku, na kama hatutokuwa makini basi wanawake watatutumia kama Wapumbavu na kutudharau sana.
Ushauri: Fanya kilichondani ya uwezo wako, lakini usiruhusu kujitesa kwasababu ya kiumbe ambacho hakipo tayari kujitesa kwaajili yako.