Kumuaga boyfriend siku ya Sendoff

Viumbe wa kwanza kuingia motoni inasemekana ni wanawake
 
ndio maana siku hizi ndoa ni kazi unakuta mtu unamuoa ila hisia ziko kwingine unakuta unajitahid kupiga mashine mwanamke hafurahii hata kama uko rijali kiasi gani kama hisia ni kwa mtu mwingine unaonekana kama fala tuuu unamuumiza kumchafua na kama alienda kumuaga trust me kuna asilmia 99 ya kuja tena kufanya mambo haya...watu tuwe macho wengi wa wanawake wanaingia tuu katika ndoa kama fashion
 
Hahahahahaha,, noma sana
Angalia,kuna mwenzio alikwenda kumuaga jamaa yake ikiwa kesho ni harusi yake,jamaa alivyomaliza kumtyomba demu alimfungia kufuli kwa nje demu siku 3 bibi harusi hajaonekana.Na jamaa akasepa zake.
 
Wewe bibie umeolewa nitinge kwenu...hawa wanawake wamebaki wachache sana na wako hatarini kutoweka...
 
Miezi kadhaa iliyopita, kuna mwanamke alimegwa usiku huohuo siku ya harusi.
Bi harusi alipotea gafla, tafta bi harusi tafta na wewe!
Aiseee mara watu wakasikia miguno ya kimahaba bafuni, kuja kutoka n bi harusi! Bw harusi alisiz, baada ya mda kupita yule jamaa nae akafanya revenge bahat mbaya akafumaniwa na wafe wake! Na huo ndo ukawa mwisho wa ndoa yao. Yan ndoa haijamaliza hata mwaka.
Kwakweli wanawake design hyo Mungu anawaona.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shetani ana nguvu nikichumbiwa navunja line zote.nishajipanga situnzi namba ya mtu kichwan zaid ya wazazi wangu.sharp
 
Wambie kabisa
 
Aisee akifanya hivyo, lazima afe!!! Labda ikiwa na Mimi ni mchepukaji, vinginevyo atakufa kabla ya send off.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…