Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu😀 😀 😀 😀 Hii comment ina viashiria vya unafiki
Acha uoga wewe currently nina dada mmoja mwanasheria anataka kuolewa nae tumeshapanga siku ya kuagana rasmiMalipo ni humu humu duniani!
Utalipa tu usijali wala me sina uoga.Acha uoga wewe currently nina dada mmoja mwanasheria anataka kuolewa nae tumeshapanga siku ya kuagana rasmi
ndio maana siku hizi ndoa ni kazi unakuta mtu unamuoa ila hisia ziko kwingine unakuta unajitahid kupiga mashine mwanamke hafurahii hata kama uko rijali kiasi gani kama hisia ni kwa mtu mwingine unaonekana kama fala tuuu unamuumiza kumchafua na kama alienda kumuaga trust me kuna asilmia 99 ya kuja tena kufanya mambo haya...watu tuwe macho wengi wa wanawake wanaingia tuu katika ndoa kama fashionKwa kweli haka kajitabia sio kazuri kwa sisi wanawake ambao tumechumbiwa
Umechumbiwa, kila hatua imefanyika na harusi imepangwa bado tu humuachi boyfriend wako
Na hii tabia ya kumuaga boyfriend wako kwa kumpa papuchi na huku kesho au siku mbili zijazo utakuwa kwa mumeo si tabia nzuri hakika kwa kisingizio cha kuagana ni ujinga
Ukichumbiwa achana na boyfriend, wengine watakuharibia ndoa yako
Wengine wakisha olewa wanapanga ratiba ya kwenda nyumbani kwao kisingizio cha kwenda kumsalimia mama kumbe anaenda kwa boyfriend wake wa huko nyumbani kwao
Hii inawahusu wale wenye wachumba ambao wanakaa (Distance) mkoa kwa mkoa,mji kwa mji au nchi kwa nchi,kijiji kwa mji,kijiji kwa kijiji,hii tabia ni mbaya
Jifunze kuacha
Angalia,kuna mwenzio alikwenda kumuaga jamaa yake ikiwa kesho ni harusi yake,jamaa alivyomaliza kumtyomba demu alimfungia kufuli kwa nje demu siku 3 bibi harusi hajaonekana.Na jamaa akasepa zake.
Wewe bibie umeolewa nitinge kwenu...hawa wanawake wamebaki wachache sana na wako hatarini kutoweka...Kwa kweli haka kajitabia sio kazuri kwa sisi wanawake ambao tumechumbiwa
Umechumbiwa, kila hatua imefanyika na harusi imepangwa bado tu humuachi boyfriend wako
Na hii tabia ya kumuaga boyfriend wako kwa kumpa papuchi na huku kesho au siku mbili zijazo utakuwa kwa mumeo si tabia nzuri hakika kwa kisingizio cha kuagana ni ujinga
Ukichumbiwa achana na boyfriend, wengine watakuharibia ndoa yako
Wengine wakisha olewa wanapanga ratiba ya kwenda nyumbani kwao kisingizio cha kwenda kumsalimia mama kumbe anaenda kwa boyfriend wake wa huko nyumbani kwao
Hii inawahusu wale wenye wachumba ambao wanakaa (Distance) mkoa kwa mkoa,mji kwa mji au nchi kwa nchi,kijiji kwa mji,kijiji kwa kijiji,hii tabia ni mbaya
Jifunze kuacha
Kuna wanawake ni majasiri hashindwi kugawa kwa wote...Kwa hiyo kama ako nao wengi ataaga wote???
Tatizo ni nyie wenyewe. Una kiboy friend, mi natokea nakutongoza unanikubali. Nakuona unafaa kuwa mke napanga mipango ya ndoa na hujamwacha dogo mwenzio. Mwisho mnaagana.Sijabahatika ila nawakumbusha waliochumbiwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Miezi kadhaa iliyopita, kuna mwanamke alimegwa usiku huohuo siku ya harusi.
Bi harusi alipotea gafla, tafta bi harusi tafta na wewe!
Aiseee mara watu wakasikia miguno ya kimahaba bafuni, kuja kutoka n bi harusi! Bw harusi alisiz, baada ya mda kupita yule jamaa nae akafanya revenge bahat mbaya akafumaniwa na wafe wake! Na huo ndo ukawa mwisho wa ndoa yao. Yan ndoa haijamaliza hata mwaka.
Kwakweli wanawake design hyo Mungu anawaona.
Wambie kabisaTatizo ni nyie wenyewe. Una kiboy friend, mi natokea nakutongoza unanikubali. Nakuona unafaa kuwa mke napanga mipango ya ndoa na hujamwacha dogo mwenzio. Mwisho mnaagana.
.....qumamae ukiamua kuolewa unatakiwa umpige kibuti boyfriend wako sio kumuaga. Shenzi type
Na hii ndiyo sababu kubwa mnatubambikia watoto wasio wetu