Kumuaga boyfriend siku ya Sendoff

Kuna demu nko nae alizalishwa na shugadaddy na limemwambia atafute kijana mstaarabu aolewe,afu ndoa litagharamia,.nawasiwasi sku karibu na ndoa lazima shugardaddy aage
 
Nami nishaagwa saana.... Lkn haikua mwisho kweli, nikiitaka naiita nakula tu,... Ama kweli mke wa leo kumuoa ni kujisogezea na kufupisha siku za kuishi tu
 
Kwahiyo ulienda mpaka kwenye kitchen party boss
 
Kwahiyo ulienda mpaka kwenye kitchen party boss
Nimekwambia siku ya harusi nilikuwa namchora tu Bw. harusi. Kwenye kitchen party toka lini wanaume wakaenda au unajitoa ufahamu?
 
Nimekwambia siku ya harusi nilikuwa namchora tu Bw. harusi. Kwenye kitchen party toka lini wanaume wakaenda au unajitoa ufahamu?
Kwahiyo nywele kwenye kitchen party ulizionaje boss?
 
Kwahiyo nywele kwenye kitchen party ulizionaje boss?
Kuna yale manywele wanayoshonea kwa ajili ya kuagwa yanabandikwa mpaka na pini ili yakae vizuri ndio alikuja nayo ghetto yaani alikuwa ana nywele alizotoka nazo kwenye sherehe ya kitchen party ndio akaja ili nimuage. Huwezi kuelewa ila ukikua utajua namaanisha nn

Nimekuwekea na picha kutoka mtandaoni kupanua uelewa wako
 
Ahaaaa nimekuelewa boss..

Kwahiyo manywele ya kitchen party na mapin pin yake akawa anadhurula nayo. Duuuh mlikutana wote washamba washamba..

Bila Shaka wote wasukuma nyie..
 
Dawa ya kutobambikiwa kaa mwaka ukikwepa siku zake ndipo umpachike mimba
Mambo ya kuja kujua mbele ya safari mtoto amekua umemgharamia kila kitu unaambiwa mtoto sio wako aisehhh
 


Nimefikiria haya.... si unaanza u boyfriend, uchumba halafu inakuja ndoa? Nini kimekutokea mpaka boyfriend asiwe mumeo?

Ndoa siyo majaribio
 
If I knew then, what I know now, it`s highly unlikely that, I would have taken the plunge, it has been such a waste of my time.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…