Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuja Mimi kwa sababu tu umeonesha kujitambuaSijabahatika ila nawakumbusha waliochumbiwa
Kwahiyo ulienda mpaka kwenye kitchen party bossUmenikumbusha kuna dada mmoja niliagana nae rasmi baada ya kutoka kwenye kitchen party tuka-do kwa mara ya mwisho yaani nakumbuka zile nywele zake siku ile za kitchen party hata alikuwa hajafumua. Siku ile nilipiga mashine balaa ila alivyoolewa nilimpotezea mazima. Kwenye harusi nilikuwa namchora tu Bw. harusi ha ha ha
Nimekwambia siku ya harusi nilikuwa namchora tu Bw. harusi. Kwenye kitchen party toka lini wanaume wakaenda au unajitoa ufahamu?Kwahiyo ulienda mpaka kwenye kitchen party boss
Kwahiyo nywele kwenye kitchen party ulizionaje boss?Nimekwambia siku ya harusi nilikuwa namchora tu Bw. harusi. Kwenye kitchen party toka lini wanaume wakaenda au unajitoa ufahamu?
Kuna yale manywele wanayoshonea kwa ajili ya kuagwa yanabandikwa mpaka na pini ili yakae vizuri ndio alikuja nayo ghetto yaani alikuwa ana nywele alizotoka nazo kwenye sherehe ya kitchen party ndio akaja ili nimuage. Huwezi kuelewa ila ukikua utajua namaanisha nnKwahiyo nywele kwenye kitchen party ulizionaje boss?
mwanamke haaminiki hata akiwa mama yako! kwa kuwa anaweza kukupa baba asiye wako!
Ahaaaa nimekuelewa boss..Kuna yale manywele wanayoshonea kwa ajili ya kuagwa yanabandikwa mpaka na pini ili yakae vizuri ndio alikuja nayo ghetto yaani alikuwa ana nywele alizotoka nazo kwenye sherehe ya kitchen party ndio akaja ili nimuage. Huwezi kuelewa ila ukikua utajua namaanisha nn
Nimekuwekea na picha kutoka mtandaoni kupanua uelewa wako
View attachment 1147104
basi naomba nikuchumbieSijabahatika ila nawakumbusha waliochumbiwa
Yani mpaka nione umeingia siku zako,ndiyo tunakulana mambo ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia sio kabisa dearUngei apply hadi kwangu jamani?[emoji23]
Tumestukaaaa bossDawa ya kutobambikiwa kaa mwaka ukikwepa siku zake ndipo umpachike mimba
Mambo ya kuja kujua mbele ya safari mtoto amekua umemgharamia kila kitu unaambiwa mtoto sio wako aisehhhDawa ya kutobambikiwa kaa mwaka ukikwepa siku zake ndipo umpachike mimba
Kwa kweli haka kajitabia sio kazuri kwa sisi wanawake ambao tumechumbiwa
Umechumbiwa, kila hatua imefanyika na harusi imepangwa bado tu humuachi boyfriend wako
Na hii tabia ya kumuaga boyfriend wako kwa kumpa papuchi na huku kesho au siku mbili zijazo utakuwa kwa mumeo si tabia nzuri hakika kwa kisingizio cha kuagana ni ujinga
Ukichumbiwa achana na boyfriend, wengine watakuharibia ndoa yako
Wengine wakisha olewa wanapanga ratiba ya kwenda nyumbani kwao kisingizio cha kwenda kumsalimia mama kumbe anaenda kwa boyfriend wake wa huko nyumbani kwao
Hii inawahusu wale wenye wachumba ambao wanakaa (Distance) mkoa kwa mkoa,mji kwa mji au nchi kwa nchi,kijiji kwa mji,kijiji kwa kijiji,hii tabia ni mbaya
Jifunze kuacha