Kumuaga boyfriend siku ya Sendoff

Unacheka! Labda tu nikuambie kwanza na wewe jiandae kwa hilo, kama tiari ulishapitia hiyo hatua basi kaa ukijua na wewe ulitombewa
 
If I knew then, what I know now, it`s highly unlikely that, I would have taken the plunge, it has been such a waste of my time.
Duh,, naona unatwanga lugha ya malkia! Make akina Mimi kamusi inanihusu hapa
 
Kwa ndoa za siku hizi first born wengi ambao wanazaliwa ndani ya miezi 9 ya ndoa Ni wa kubambikiwa.!!
 
umesema kweli ni tabia mbovu, ipo siku yatawatokea puani unaenda kuaga kumbe yule boyfriend hayupo tayari kukuachia anakuja kulipiza. ukishakuwa na mahusiano na mwanaume yupo serious na anapanga ndoa block contacts zote za maex ikibidi hata line ubadilishe maana unaingia ukurasa mpya wa maisha.
 
Wataacha wapi wkati wanawake wanachoangalia katika kuolewa na maisha na sio upendo wa dhati. Wacha watugaie papichi hizo sie masikini lakini wagegedaji wazuri
 
Ha ha ha ha ulishikwa na hasira ukaifuta ukitegemea hutani miss[emoji23][emoji23][emoji23]
Teh teh teh nimegundua hasira hasara nimepata darasa namna kuzikabili hasira...nakuomba urudi tu nakosa vingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…