Poa mzima weye....za masikuWewee mambo..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa mzima weye....za masikuWewee mambo..
Tatizo mnaolewa kwa mengi.Na moja wapo ni kwamba sio mapenz yanyofanya muolewe.Wengi mnaolewa for pristage tu ila kuna mtu ambaye unakuta ndio unamkubal zaid thgh yy hana uwezo wa kukuweka ndan wala kukidhi mahitaji yako kiuchumi lakin ndio anayekufikisha,huwa inakua ngum sana kumuacha huyu ndio maana mnatuletea masebene yasiyoeleweka ndan ya ndoa pale tunapowaoa.Sasa ukishachumbiwa boyfriend wa nini eti
Poleni sanaTatizo mnaolewa kwa mengi.Na moja wapo ni kwamba sio mapenz yanyofanya muolewe.Wengi mnaolewa for pristage tu ila kuna mtu ambaye unakuta ndio unamkubal zaid thgh yy hana uwezo wa kukuweka ndan wala kukidhi mahitaji yako kiuchumi lakin ndio anayekufikisha,huwa inakua ngum sana kumuacha huyu ndio maana mnatuletea masebene yasiyoeleweka ndan ya ndoa pale tunapowaoa.
PowaaaPoa mzima weye....za masiku
Mkuu umeongea kwa huruma.Malipo ni humu humu duniani!
Safi....pande zipiPowaaa
Hao ma boyfriends wanaendelea nao mpaka wakiwa kwenye ndoa.Kwa kweli haka kajitabia sio kazuri kwa sisi wanawake ambao tumechumbiwa
Umechumbiwa, kila hatua imefanyika na harusi imepangwa bado tu humuachi boyfriend wako
Na hii tabia ya kumuaga boyfriend wako kwa kumpa papuchi na huku kesho au siku mbili zijazo utakuwa kwa mumeo si tabia nzuri hakika kwa kisingizio cha kuagana ni ujinga
Ukichumbiwa achana na boyfriend, wengine watakuharibia ndoa yako
Wengine wakisha olewa wanapanga ratiba ya kwenda nyumbani kwao kisingizio cha kwenda kumsalimia mama kumbe anaenda kwa boyfriend wake wa huko nyumbani kwao
Hii inawahusu wale wenye wachumba ambao wanakaa (Distance) mkoa kwa mkoa,mji kwa mji au nchi kwa nchi,kijiji kwa mji,kijiji kwa kijiji,hii tabia ni mbaya
Jifunze kuacha
Subiria zamu yako ukiwa bwana harusi [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Umenikumbusha kuna dada mmoja niliagana nae rasmi baada ya kutoka kwenye kitchen party tuka-do kwa mara ya mwisho yaani nakumbuka zile nywele zake siku ile za kitchen party hata alikuwa hajafumua. Siku ile nilipiga mashine balaa ila alivyoolewa nilimpotezea mazima. Kwenye harusi nilikuwa namchora tu Bw. harusi ha ha ha
Hapana mkuu,huo ndio ukweli.Mkuu umeongea kwa huruma.
hakuna anayewaandama ni wao tuu uchu wa maisha mazuri na kuataka kuwa na familia...its inbornTatizo wanaandamwa sana wasipoolewa
Mtu anaona bora aolewe tuu ila moyo upo kwingineee
We umefikiria nini au ndo tabia yako umeikumbuka !?, mbona walioitawala Tz enzi izo wanaifadhili hadi sasa ijapokua tunamume mpya china
Umenikumbusha kuna dada mmoja niliagana nae rasmi baada ya kutoka kwenye kitchen party tuka-do kwa mara ya mwisho yaani nakumbuka zile nywele zake siku ile za kitchen party hata alikuwa hajafumua. Siku ile nilipiga mashine balaa ila alivyoolewa nilimpotezea mazima. Kwenye harusi nilikuwa namchora tu Bw. harusi ha ha ha
Na hii ndiyo sababu kubwa mnatubambikia watoto wasio wetu
mwanamke haaminiki hata akiwa mama yako! kwa kuwa anaweza kukupa baba asiye wako!
Kwa hiyo kama ako nao wengi ataaga wote???
Na wewe ulienda Kuaga 1stMambo ni mengi mda mchache
Angalia,kuna mwenzio alikwenda kumuaga jamaa yake ikiwa kesho ni harusi yake,jamaa alivyomaliza kumtyomba demu alimfungia kufuli kwa nje demu siku 3 bibi harusi hajaonekana.Na jamaa akasepa zake.
HahahaAhaaaa nimekuelewa boss..
Kwahiyo manywele ya kitchen party na mapin pin yake akawa anadhurula nayo. Duuuh mlikutana wote washamba washamba..
Bila Shaka wote wasukuma nyie..