Kumuaga boyfriend siku ya Sendoff

Kumuaga boyfriend siku ya Sendoff

Ila msisahau siku zote KARMA IS A BITCH.
 
Sasa ukishachumbiwa boyfriend wa nini eti
Tatizo mnaolewa kwa mengi.Na moja wapo ni kwamba sio mapenz yanyofanya muolewe.Wengi mnaolewa for pristage tu ila kuna mtu ambaye unakuta ndio unamkubal zaid thgh yy hana uwezo wa kukuweka ndan wala kukidhi mahitaji yako kiuchumi lakin ndio anayekufikisha,huwa inakua ngum sana kumuacha huyu ndio maana mnatuletea masebene yasiyoeleweka ndan ya ndoa pale tunapowaoa.
 
Tatizo mnaolewa kwa mengi.Na moja wapo ni kwamba sio mapenz yanyofanya muolewe.Wengi mnaolewa for pristage tu ila kuna mtu ambaye unakuta ndio unamkubal zaid thgh yy hana uwezo wa kukuweka ndan wala kukidhi mahitaji yako kiuchumi lakin ndio anayekufikisha,huwa inakua ngum sana kumuacha huyu ndio maana mnatuletea masebene yasiyoeleweka ndan ya ndoa pale tunapowaoa.
Poleni sana
 
Kwa kweli haka kajitabia sio kazuri kwa sisi wanawake ambao tumechumbiwa

Umechumbiwa, kila hatua imefanyika na harusi imepangwa bado tu humuachi boyfriend wako

Na hii tabia ya kumuaga boyfriend wako kwa kumpa papuchi na huku kesho au siku mbili zijazo utakuwa kwa mumeo si tabia nzuri hakika kwa kisingizio cha kuagana ni ujinga

Ukichumbiwa achana na boyfriend, wengine watakuharibia ndoa yako

Wengine wakisha olewa wanapanga ratiba ya kwenda nyumbani kwao kisingizio cha kwenda kumsalimia mama kumbe anaenda kwa boyfriend wake wa huko nyumbani kwao

Hii inawahusu wale wenye wachumba ambao wanakaa (Distance) mkoa kwa mkoa,mji kwa mji au nchi kwa nchi,kijiji kwa mji,kijiji kwa kijiji,hii tabia ni mbaya

Jifunze kuacha
Hao ma boyfriends wanaendelea nao mpaka wakiwa kwenye ndoa.
 
Umenikumbusha kuna dada mmoja niliagana nae rasmi baada ya kutoka kwenye kitchen party tuka-do kwa mara ya mwisho yaani nakumbuka zile nywele zake siku ile za kitchen party hata alikuwa hajafumua. Siku ile nilipiga mashine balaa ila alivyoolewa nilimpotezea mazima. Kwenye harusi nilikuwa namchora tu Bw. harusi ha ha ha
Subiria zamu yako ukiwa bwana harusi [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Aise. .inauma sana
Umenikumbusha kuna dada mmoja niliagana nae rasmi baada ya kutoka kwenye kitchen party tuka-do kwa mara ya mwisho yaani nakumbuka zile nywele zake siku ile za kitchen party hata alikuwa hajafumua. Siku ile nilipiga mashine balaa ila alivyoolewa nilimpotezea mazima. Kwenye harusi nilikuwa namchora tu Bw. harusi ha ha ha
 
Hahaha aise
Angalia,kuna mwenzio alikwenda kumuaga jamaa yake ikiwa kesho ni harusi yake,jamaa alivyomaliza kumtyomba demu alimfungia kufuli kwa nje demu siku 3 bibi harusi hajaonekana.Na jamaa akasepa zake.
 
Ahaaaa nimekuelewa boss..

Kwahiyo manywele ya kitchen party na mapin pin yake akawa anadhurula nayo. Duuuh mlikutana wote washamba washamba..

Bila Shaka wote wasukuma nyie..
Hahaha
 
Back
Top Bottom