Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa viumbe ni bure kabisa yani mimi ni wakupangwa eti anaumwa na tumbo kumbe jamaa kashajaza, ilikuwa nimikakati ya kuflash na nikatoa hela yangu!Jamaa yetu kaenda masomonj kamuacha mkewe now kapewa mimba anaangaika kuitoa
Mwanamke haifai kuaminiwa?Unaanzaje kumuamini mwanamke?
Tuanzie hapo kwanza
Wakija hapa, utajuta.Jamaa yetu kaenda masomonj kamuacha mkewe now kapewa mimba anaangaika kuitoa
There are plenty of good women out there, unfortunately your girlfriend is not one of them.Hawa viumbe ni bure kabisa yani mimi ni wakupangwa eti anaumwa na tumbo kumbe jamaa kashajaza, ilikuwa nimikakati ya kuflash na nikatoa hela yangu!
MAPENZI NI UGONJWA WA AKILI.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Naona unavuta kambaa kwa upande wako,90%ni kawaida sana kwenu kwa sasaUsigeneralize wanawake wote bana! Ni huyo tu mwenye akili mbovu si wote.
Are you among the good ones?There are plenty of good women out there, unfortunately your girlfriend is not one of them.
Thank you. They shouldn't generalize, we're all not the same.There are plenty of good women out there, unfortunately your girlfriend is not one of them.
Mkuu unahisi ni sawa kusema wanawake wote wana tabia hii, je hujaona wenye tabia nzuri tu na ambao hawawezi kufanya mambo kama hayo? Mtaani kwako hamna hata mmoja?Naona unavuta kambaa kwa upande wako,90%ni kawaida sana kwenu kwa sasa
Jamaa yetu kaenda masomonj kamuacha mkewe now kapewa mimba anaangaika kuitoa
Nasisi tulaumiwe kwa kurubuni wanawakeee...dah! Unampanga mpaka anakosa pakutokea..Hawa viumbe ni bure kabisa yani mimi ni wakupangwa eti anaumwa na tumbo kumbe jamaa kashajaza, ilikuwa nimikakati ya kuflash na nikatoa hela yangu!
MAPENZI NI UGONJWA WA AKILI.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Hawa viumbe ni bure kabisa yani mimi ni wakupangwa eti anaumwa na tumbo kumbe jamaa kashajaza, ilikuwa nimikakati ya kuflash na nikatoa hela yangu!
MAPENZI NI UGONJWA WA AKILI.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Aysee mtaa wangu hakuna hata sample ya kupeleka maabara,yaani ni full vicheche,c wake za watu,wanachuo au wanafunzi,kiujumlaa hawashikikiMkuu unahisi ni sawa kusema wanawake wote wana tabia hii, je hujaona wenye tabia nzuri tu na ambao hawawezi kufanya mambo kama hayo? Mtaani kwako hamna hata mmoja?
Kwani we ni double?Usigeneralize wanawake wote bana! Ni huyo tu mwenye akili mbovu si wote.
Sorry double entry gani tena?Kwani we ni double?
Ulijuaje?Aysee mtaa wangu hakuna hata sample ya kupeleka maabara,yaani ni full vicheche,c wake za watu,wanachuo au wanafunzi,kiujumlaa hawashikiki
I don't like to rate myself but YES, I am one of those faithful women.