Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Sitambui hii kesi ni jalida namba ngapi labda ningeweza kuikomalia ila nasisitiza kuwa kutenguliwa hiyo nyadhifa isiwe ndiyo mwisho wa kesi,kesi ya ubakaji sio kesi ndogo hata kama alobakwa ni malaya.
Tunahitaji taarifa na hukumu ya kesi hii iende mahakamani.
Tunahitaji taarifa na hukumu ya kesi hii iende mahakamani.