Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
wakimuhamisha mtu kitengo wanakawaida ya kuipotezea kesi.Hii kesi ilitaka kumalizwa kinyemela lakini ni kama vile mhanga kalia kwa huzuni sana.
Jamaa wasingemnyima maji yule binti.
Kwa dalili zilizopo bado kuna watakaondoka tu. Mwisho wa siku anaebebwa itabidi abwagwe tu.wakimuhamisha mtu kitengo wanakawaida ya kuipotezea kesi.
Tuwe makini, pamoja na huu mjadala tukumbuke kuna mjadala mkali unaendelea Ngorongoro, tusije wasahau wenzetu Masai maana hili la afande linaweza kuwa poteza boyaSitambui hii kesi ni jalida namba ngapi labda ningeweza kuikomalia ila nasisitiza kuwa kutenguliwa hiyo nyadhifa isiwe ndiyo mwisho wa kesi,kesi ya ubakaji sio kesi ndogo hata kama alobakwa ni malaya.
Tunahitaji taarifa na hukumu ya kesi hii iende mahakamani.
Nalo neno hilo.Tuwe makini, pamoja na huu mjadala tukumbuke kuna mjadala mkali unaendelea Ngorongoro, tusije wasahau wenzetu Masai maana hili la afande linaweza kuwa poteza boya
ni Tanzania pekee kosa huondoshwa kwa propaganda ya kufanya kosa zaidi.Tuwe makini, pamoja na huu mjadala tukumbuke kuna mjadala mkali unaendelea Ngorongoro, tusije wasahau wenzetu Masai maana hili la afande linaweza kuwa poteza boya
😀ni Tanzania pekee kosa huondoshwa kwa propaganda ya kufanya kosa zaidi.