Hakuna kipa pale ni garasaMagoli yote kachomesha Wala hakuna mjadala, wenzake wanasogea mbele ila macho yote yanaenda na move ya mpira ikitojea akaona dalili za kushambuliwa anarudi eneo lake sahihi kujiandaa kusave. Yeye kasimama kama kuni.
Mo kalia mara ya pili Juzi kipigo Simba Queens wamechapwa na Yanga Princess jana kidonda bado kibichi kabigwa tena draw Ahmed Ally kaenda kuomba radhi TRA na wachezaji wa zamaniSiioni simba........
Ubora ubora ubora [emoji23][emoji23]Magoli yote kachomesha Wala hakuna mjadala, wenzake wanasogea mbele ila macho yote yanaenda na move ya mpira ikitojea akaona dalili za kushambuliwa anarudi eneo lake sahihi kujiandaa kusave. Yeye kasimama kama kuni.
Wali mbrand sana makoloHakuna kipa pale ni garasa
Ikibeba kombe[emoji23][emoji23]Siioni simba........
HatariMo kalia mara ya pili Juzi kipigo Simba Queens wamechapwa na Yanga Princess jana kidonda bado kibichi kabigwa tena draw Ahmed Ally kaenda kuomba radhi TRA na wachezaji wa zamani
Alimsikiliza VuVu Midi AllyToka awali hili jambo la Camara kukaa mbali na Goli kama Diarra tulishalizungumza!! Hatimaye leo ameiponza Timu!![emoji3063][emoji3063][emoji3061]
Hii sio mara ya kwanza wala ya pili!! Kuna muda Camara amekuwa akichoma anapotokea mpira hasa anapotokea nje ya Box.[emoji88]
Maamuzi ni yake na ya Kocha wake, aendelee kufanya ivyo au ajipige zake Gundi Golini.
Wenu mtiifu katika uchambuzi wa mchongo!! Labani og View attachment 3115693
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Alipotezwa[emoji23]Alimsikiliza VuVu Midi Ally
Isije ikawa yule aliemuibia nguo za mazoezi kashafanya yake bongo nyoso hii.Toka awali hili jambo la Camara kukaa mbali na Goli kama Diarra tulishalizungumza!! Hatimaye leo ameiponza Timu!![emoji3063][emoji3063][emoji3061]
Hii sio mara ya kwanza wala ya pili!! Kuna muda Camara amekuwa akichoma anapotokea mpira hasa anapotokea nje ya Box.[emoji88]
Maamuzi ni yake na ya Kocha wake, aendelee kufanya ivyo au ajipige zake Gundi Golini.
Wenu mtiifu katika uchambuzi wa mchongo!! Labani og View attachment 3115693
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kuna Diarra mmoja tu BongoMagoli yote kachomesha Wala hakuna mjadala, wenzake wanasogea mbele ila macho yote yanaenda na move ya mpira ikitojea akaona dalili za kushambuliwa anarudi eneo lake sahihi kujiandaa kusave. Yeye kasimama kama kuni.