Kumuita Diamond msanii wa kimataifa ni kichekesho

Hii nchi ina wachawi wa mwendo kasi wengi sana
ahahah eti wachawi wa mwendokasi,binafsi naona mashabiki wengi wa team pinzani na bwana almasi(zote mbili) wanaumia nyoyo sana maana wana chuki sijui likitu gani la moto limewakaba kwenye koo hahaha,ndo mana wanatukana sana lakin bado hawaridhiki.ipo sku mtu atajimurder asee.
 
hio ni sentens tata mkuu utata wake unakuja pale mada inamuhusu rais wa wasafi na mwana dsm afu wote wanapewa sifa so cjajua yupi anaevishwa crown ilio mzid kichwa
we are on dstv preparing some programmes, later
 
we are on dstv preparing some programmes, later
Kiba hana shukurani, hana ubinadamu hata kidogo. Alikwisha potea na akatumia nyota ya Jokate na mrembo mwenyechuki mahips kurudi katika game.

Hivi sasa kaona anawika ameamua kumpiga kibuti Jokate kwa kashfa na kutoa maneno ya hovyo. Hata kama yupo kwa bibie 7, siyo vizuri kutoa kashfa kwa ex wake.

Namshauri amuombe radhi Jokate maana wanaweza tengeneza timu na akaangushwa. Mondi alikuwa strong, huyu dhaifu watammaliza. Jokate akiunga nguvu na mahips wanaweza kummaliza. Ni ushauri tu.
 
kila mwanaume ni strong nsijue kwenu
 
Wewe siyo shabiki wa diamond.
Vipi kwa sasa Alikiba anaweza pambana na diamond au bado unaishi kwenye zilipendwa
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ kweli muombee adui yako aishi miaka mingi ili unapobarikiwa ajionee kwa macho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…