Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
basi sawa diamond kashazomewa na kiba ameshangiliwa, then what?????? kwani tukiwasapoti wote itakuaje??? kwanini tunataka mmoja ashuke ndio mwingine apande? kwani itakuwaje wote wakawa juu??hicho kiti cha king sijui kipo kimoja tuu??
leo unaongea hvyooo kaka@somji juma