Nani amekudanganya kuwa maofisini huko ambako watu wamesoma na vyeo wanavyo.... kuwa hawatumii uchawi na ushirikina katika majukumu yao???Hapo vip!!
Katika karesearch changu niliyofanya, nimegundua wanawake wengi ambao nwachawi na washirikina dhidi ya waume zao au watu wengine ni wanawake ambao hawajasoma.
Ukiwa mwanaume umesoma then ukamuoa mwanamke ambaye hajasoma, kama sio muelewa juu ya kuwa busy sana na mambo ya ofisini, nirahisi sana yeye kukuendea kwa mganga, akiamini akikupiga libwata hautomuache then ukawaoa wasomi wenzio.
Nb siwadharau wanawake ambao hawajasoma bali nimeona niweke ualisia ulivyo.
Uongo mtupuHapo vip!!
Katika karesearch changu niliyofanya, nimegundua wanawake wengi ambao nwachawi na washirikina dhidi ya waume zao au watu wengine ni wanawake ambao hawajasoma.
Ukiwa mwanaume umesoma then ukamuoa mwanamke ambaye hajasoma, kama sio muelewa juu ya kuwa busy sana na mambo ya ofisini, nirahisi sana yeye kukuendea kwa mganga, akiamini akikupiga libwata hautomuache then ukawaoa wasomi wenzio.
Nb siwadharau wanawake ambao hawajasoma bali nimeona niweke ualisia ulivyo.