wa ukae
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 2,720
- 2,151
Kama mama zenu waliowazaa kwa sababu hawajasoma mnawaita waganga wa kienyeji vipi kuhusu Baba yako asiesoma yeye aitwe mchawi?
Punguza nyodo na dharau kijana hata hiyo elimu na mafanikio ulionayo yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na hao unaowaita waganga wa kienyeji
Punguza nyodo na dharau kijana hata hiyo elimu na mafanikio ulionayo yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na hao unaowaita waganga wa kienyeji