Kumuoa mwanamke ambaye hajasoma sawa na kumleta mganga wa kienyeji ndani ya nyumba

Kumuoa mwanamke ambaye hajasoma sawa na kumleta mganga wa kienyeji ndani ya nyumba

Kwa zama hizi bora nioe mwanamke ambaye hana elimu sana anaweza kuwa msikivu kuliko hawa wanaoishi kwenye Expansion Joints.
 
Kwa zama hizi bora nioe mwanamke ambaye hana elimu sana anaweza kuwa msikivu kuliko hawa wanaoishi kwenye Expansion Joints.
CHEKI HUYU MSOMI UMEFIKA MUDA WA KUCHAGUA MKE ALIYESOMA!!!!!

konyagi-jama anasoma.jpg
 
Mleta mada uko sahihi kwa asilimia flani lakini siyo kwa asilimia 100%
Pengine hawajakuelewa vizuri kutokana na namna ulivyowasilisha hoja yako lakini binafsi nimekuelewa!
Wanawake wengi ambao ni jobless huwa ni washirika kwa kuogopa kuachika huku akiwa hana pa kwenda Au kuanzia ikitokea kuachika!
Hali hiyo ni tofauti na wanawake wenye kazi zao wenyewe Hata akiachwa anao uwezo wa kuendesha maisha Yake!
Kwa hiyo kuna kaukweli flani ktk mada yako!
 
Hapo vip!!
Katika karesearch changu niliyofanya, nimegundua wanawake wengi ambao nwachawi na washirikina dhidi ya waume zao au watu wengine ni wanawake ambao hawajasoma.

Ukiwa mwanaume umesoma then ukamuoa mwanamke ambaye hajasoma, kama sio muelewa juu ya kuwa busy sana na mambo ya ofisini, nirahisi sana yeye kukuendea kwa mganga, akiamini akikupiga libwata hautomuache then ukawaoa wasomi wenzio.

Nb siwadharau wanawake ambao hawajasoma bali nimeona niweke ualisia ulivyo.
BAADA YA KUMALIZA KADIGRII KAKO KA EXPANSION JOINT NA KONYAGI MOJA NDIO UNAJIONA UMEFIKA SANA!!! NIMEKUFANANISHA NA HUYU JAMAA HAPA,,,,,
konyagi-jama anasoma.jpg
 
Utafiti wa kijinga kabisa huu,wanawake wasomi na wasio soma wote ni wateja wa masangoma.
Nakubaliana na wewe ktk hili mwanamke asiyesoma atafutiwe shughuli ya kumuingizia kipato asikae tu na kubaki mama wa nyumbani ili kumwepusha na makundi mabaya ya wanawake wanaoshinda kujadiliana mambo yasio na tija.
 
Pole sana,mbona ww Imekugusana sana?????
IMENISIKITISHA SANA KWANI ANGALAU NINA UHAKIKA KWA KISOMO NITAKUWA NIMEKUZIDI NA KWA TAARIFA YAKO SIJASOMA KWA MIKOPO HII YA BODI YA HAPA BONGO NA HATA MKE WANGU NINA UHAKIKA KWA REASONING YAKO YA KADIGRII KAKO KAMOJA KA CHUO CHA KATA MKE WANGU ANAKUZIDI KWA KISOMO.NJOO INBOX NIKUTUMIE MAGAMBA AU TUWEKE HAPA,CHA MKE WANGU TU KINAKUTOSHA.HUU ULIMBUKENI WAKO NDIO UMENIKWAZA!
 
Pole sana,mbona ww Imekugusana sana?????
IMENISIKITISHA SANA KWANI ANGALAU NINA UHAKIKA KWA KISOMO NITAKUWA NIMEKUZIDI NA KWA TAARIFA YAKO SIJASOMA KWA MIKOPO HII YA BODI YA HAPA BONGO NA HATA MKE WANGU NINA UHAKIKA KWA REASONING YAKO YA KADIGRII KAKO KAMOJA KA CHUO CHA KATA MKE WANGU ANAKUZIDI KWA KISOMO.NJOO INBOX NIKUTUMIE MAGAMBA AU TUWEKE HAPA,CHA MKE WANGU TU KINAKUTOSHA.HUU ULIMBUKENI WAKO NDIO UMENIKWAZA!
 
IMENISIKITISHA SANA KWANI ANGALAU NINA UHAKIKA KWA KISOMO NITAKUWA NIMEKUZIDI NA KWA TAARIFA YAKO SIJASOMA KWA MIKOPO HII YA BODI YA HAPA BONGO NA HATA MKE WANGU NINA UHAKIKA KWA REASONING YAKO YA KADIGRII KAKO KAMOJA KA CHUO CHA KATA MKE WANGU ANAKUZIDI KWA KISOMO.NJOO INBOX NIKUTUMIE MAGAMBA AU TUWEKE HAPA,CHA MKE WANGU TU KINAKUTOSHA.HUU ULIMBUKENI WAKO NDIO UMENIKWAZA!
Ungekuwa na elimu usingekuja na arguments za kishamba na za mtaani kama unazokuja nazo humu,ungesoma ungeelimisha badala yakutoa ur bullshits.
 
Elimu ipi kama ni hii ya fom four mpaka chuo kikuu hamna kitu, wasomi wengi wanafel kulea watoto wachanga, kunyonyesha kwao shida, katoto kanakulia maziwa ya mbuzi mpaka kanakua na tabia za mbuzi, kumbadilisha mtoto nepi ni shida kwao mtoto anakaa na pampas siku mbili yeye yuko biz saloon,

Halafu elimu ni swala pana kuna elimu ya mazingira, elimu ya tamaduni, elimu ya afya, elimu ya mahusiano ko mtu anaweza akawa na degree ya jogoolaafya lakini kwenye mahusiano akachemka kama kawa, maisha hayanaga msomi
 
Elimu yenyewe hii elimu buree ndo unalingia mkuu ?
 
Back
Top Bottom