The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
- Thread starter
- #41
wabongo ..... Ukikonda atakuuliza mbona umekonda
ukinenepa atakuuliza mbaona umenenepa...
Ukikohoa atakuuliza vipi mbona kikohozi...
Sasa ole wako mkutane ukiwa umekonda na unakohoa.......
All in all hzipendezi, binafsi huwa siulizi hilo swali
au kumuuliza mwanamke 'umeolewa?lol
hawapendi hilo swali hasa kama bado..