Ujinga umeandika.Nimejaribu kufuatilia kwa makini mechi mbili za simba dhidi ya TP MAZEMBE na Derby ya YANGA...
Zote mbili ni mechi kubwa kutoa kipimo cha Simba ya msimu mpya.
Simba niliyoizoea ya mipango katika ushambuliaji haipo kabisa...Ullikuwa unaiona kabisa simba inavyotafuta goli, mabeki wanavyopoteana wa timu pinzani kwa sababu ya mtaalamu mmoja CHAMA...Ufundi na kutulia bila papara ni mara chache nimeshuhudia ktk mpira wa kiafrika hasa kusini mwa Afrika.
Naweza kusema angeweza kuondoka Luis Miqueson na kubaki CHAMA na kwa vijana hawa KONOUTE , SAKHO na BANDA chini ya mipango ya CHAMA simba ingetisha mara mbili. Katika timu unaweza kupata forward wengi lakini ni nadra kuwapata mafundi kama CHAMA. Nalinganisha na ufundi wa ZINEDINE ZIDANE wakati fulani REAL MADRID au XAVI na Iniesta BARCELONA....Taste na brain zile huzipati kila wakati.
Tungeweza kumuuza Luis Miqueson, ila kumuuza CHAMA lilikuwa kosa kubwa hasa kwa timu iliyokuwa imeshaanza safari...
Hata mimi nawashangaa hawa wachambuzi wetu, simba kapoteza mara nyingi tu kwa yanga na chama alikuwepo, tukubali tu tulifungwa kwa sababu ya kuzidiwa technic na yangaMbona kipindi chama yupo tuliwahi kufungwa na yanga, tukadroo na T. Prisons kwa mbinde, tukafungwa na Kaizer chief n.k.
Mpira hauko hivyo bro, mechi moja au mbili so kipimo cha timu kama ni bora au lah
Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
Tatizo bro ni mwenye mali,aliamua auzwe japo chama aliomba radhi but jamaa alikataa kabisaNimejaribu kufuatilia kwa makini mechi mbili za simba dhidi ya TP MAZEMBE na Derby ya YANGA...
Zote mbili ni mechi kubwa kutoa kipimo cha Simba ya msimu mpya.
Simba niliyoizoea ya mipango katika ushambuliaji haipo kabisa...Ullikuwa unaiona kabisa simba inavyotafuta goli, mabeki wanavyopoteana wa timu pinzani kwa sababu ya mtaalamu mmoja CHAMA...Ufundi na kutulia bila papara ni mara chache nimeshuhudia ktk mpira wa kiafrika hasa kusini mwa Afrika.
Naweza kusema angeweza kuondoka Luis Miqueson na kubaki CHAMA na kwa vijana hawa KONOUTE , SAKHO na BANDA chini ya mipango ya CHAMA simba ingetisha mara mbili. Katika timu unaweza kupata forward wengi lakini ni nadra kuwapata mafundi kama CHAMA. Nalinganisha na ufundi wa ZINEDINE ZIDANE wakati fulani REAL MADRID au XAVI na Iniesta BARCELONA....Taste na brain zile huzipati kila wakati.
Tungeweza kumuuza Luis Miqueson, ila kumuuza CHAMA lilikuwa kosa kubwa hasa kwa timu iliyokuwa imeshaanza safari...
Yuko sahihi kinachoonekana sasa ni mwendelezo wa yanayotokea,,,mpira unachezwa adharani kila kitu kinaonekana, atukatai kuuza wachezaji kwa maana ni jambo la kawaida duniani kote, lakini unapofanya replacement unatakiwa uangalie aina ya replacement unayokwenda kuifanya je inalingana au kukalibiana na kilichoondoka ili kulinda ule ubora uliokuwepo awali, hiki ndicho kitakachowatesa simba msimu huu, Mwamed amekuwa mgumu wa kufanya usajili mkubwa msimu huu kwa maana target yake kwa sasa ni kufanya biashara ya wachezaji, ananunua vijana wadogo wasiokuwa na uzoefu wowote kwa bei ndogo ili waje wakue auze, yaani anataka kuwa Kama Arsenal wanavyofanya awawazi makombe wao wanawaza faida wanayoingiza kupitia biashara ya wachezaji, ndicho ninachokiona kwa mo sasa hivi, kwa akili ya kawaida nilitegemea ameuza chama na miksoni kwa pesa nzuri angeingia sokoni kutafuta wachezaji wawili wa maana ambao ingewachukua mda mfupi Sana kuwapa kile wanachokitaka, mchezaji mkubwa unapomsajili aiitaji mda mrefu kuona u bora wake, unaliona hilo kwa akina bangala na aucho wa yanga na mayele,,ni wachezaji ambao ni top prayer na wameonyesha ilo kwa mda mfupi, sasa mwamed hii misheni yake itawaumiza mashbiki wake
Acheni huu upuuzi, football ni biashara ni kazi kama zingine , chama alikuwa analipwa milion12 per month leo huko aliko moroco analipwa milion 48 , angebaki vipi????Nimejaribu kufuatilia kwa makini mechi mbili za simba dhidi ya TP MAZEMBE na Derby ya YANGA...
Zote mbili ni mechi kubwa kutoa kipimo cha Simba ya msimu mpya.
Simba niliyoizoea ya mipango katika ushambuliaji haipo kabisa...Ullikuwa unaiona kabisa simba inavyotafuta goli, mabeki wanavyopoteana wa timu pinzani kwa sababu ya mtaalamu mmoja CHAMA...Ufundi na kutulia bila papara ni mara chache nimeshuhudia ktk mpira wa kiafrika hasa kusini mwa Afrika.
Naweza kusema angeweza kuondoka Luis Miqueson na kubaki CHAMA na kwa vijana hawa KONOUTE , SAKHO na BANDA chini ya mipango ya CHAMA simba ingetisha mara mbili. Katika timu unaweza kupata forward wengi lakini ni nadra kuwapata mafundi kama CHAMA. Nalinganisha na ufundi wa ZINEDINE ZIDANE wakati fulani REAL MADRID au XAVI na Iniesta BARCELONA....Taste na brain zile huzipati kila wakati.
Tungeweza kumuuza Luis Miqueson, ila kumuuza CHAMA lilikuwa kosa kubwa hasa kwa timu iliyokuwa imeshaanza safari...
Mkuu nadhani huijui biashara ya mpira, kwa ofa aliyoipata ulitaka aiache, huo mshahara anaoupata wewe ungetaka abaki ungeulipa? Acheni kujifanya wajuaji.Nimejaribu kufuatilia kwa makini mechi mbili za simba dhidi ya TP MAZEMBE na Derby ya YANGA...
Zote mbili ni mechi kubwa kutoa kipimo cha Simba ya msimu mpya.
Simba niliyoizoea ya mipango katika ushambuliaji haipo kabisa...Ullikuwa unaiona kabisa simba inavyotafuta goli, mabeki wanavyopoteana wa timu pinzani kwa sababu ya mtaalamu mmoja CHAMA...Ufundi na kutulia bila papara ni mara chache nimeshuhudia ktk mpira wa kiafrika hasa kusini mwa Afrika.
Naweza kusema angeweza kuondoka Luis Miqueson na kubaki CHAMA na kwa vijana hawa KONOUTE , SAKHO na BANDA chini ya mipango ya CHAMA simba ingetisha mara mbili. Katika timu unaweza kupata forward wengi lakini ni nadra kuwapata mafundi kama CHAMA. Nalinganisha na ufundi wa ZINEDINE ZIDANE wakati fulani REAL MADRID au XAVI na Iniesta BARCELONA....Taste na brain zile huzipati kila wakati.
Tungeweza kumuuza Luis Miqueson, ila kumuuza CHAMA lilikuwa kosa kubwa hasa kwa timu iliyokuwa imeshaanza safari...