Kumuweka ndugu Kwa upendeleo kwenye Taasisi ya umma unayoiongoza ni kukosa Maadili

Kumuweka ndugu Kwa upendeleo kwenye Taasisi ya umma unayoiongoza ni kukosa Maadili

BOB LUSE

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
3,738
Reaction score
3,199
Viongozi wengi wa kiafrika tunapenda sana kubeba ndugu na kuwaketisha viti vya mbele.

Mambo ya ukabila,udugu Ili kuzungukwa na watu mnaojuana ni kukosa weledi na kuleta mgongano wa kimaslahi.

Ziko namna nyingi za kuwabeba ndugu,sio kwaajiri katika Utumishi wa Umma,kama mnafanya Biashara au kazi za kifamilia.

Mwalimu Nyerere ndiye mwasisi wa ukabila na udugu,Akina Kikwete,Magufuli ndio alikufuru, Sasa Mama Kizimkaz amekopi na kupesti madesa.

Itungwe Sheria Kali ya kuzuia kuajiri ndugu au kabila lako Kwa hila, Haina tija zaidi ya kututia umaskini.
 
Wanataka nchi iwe ya familiaa labdaa lakini haitawezekanaa kamwe
 
Viongozi wengi wa kiafrika tunapenda sana kubeba ndugu na kuwaketisha viti vya mbele.
Mambo ya ukabila,udugu Ili kuzungukwa na watu mnaojuana ni kukosa weledi na kuleta mgongano wa kimaslahi.

Ziko namna nyingi za kuwabeba ndugu,sio kwaajiri katika Utumishi wa Umma,kama mnafanya Biashara au kazi za kifamilia.
Mwalimu Nyerere ndiye mwasisi wa ukabila na udugu,Akina Kikwete,Magufuli ndio alikufuru, Sasa Mama Kizimkaz amekopi na kupesti madesa
Itungwe Sheria Kali ya kuzuia kuajiri ndugu au kabila lako Kwa hila, Haina tija zaidi ya kututia umaskini.
Unamaanisha rais samia hana maadili ??
 
Viongozi wengi wa kiafrika tunapenda sana kubeba ndugu na kuwaketisha viti vya mbele.
Mambo ya ukabila,udugu Ili kuzungukwa na watu mnaojuana ni kukosa weledi na kuleta mgongano wa kimaslahi.

Ziko namna nyingi za kuwabeba ndugu,sio kwaajiri katika Utumishi wa Umma,kama mnafanya Biashara au kazi za kifamilia.
Mwalimu Nyerere ndiye mwasisi wa ukabila na udugu,Akina Kikwete,Magufuli ndio alikufuru, Sasa Mama Kizimkaz amekopi na kupesti madesa
Itungwe Sheria Kali ya kuzuia kuajiri ndugu au kabila lako Kwa hila, Haina tija zaidi ya kututia umaskini.
Una maana Nape, Makamba, Kibajaji, Mwinyi na wengine walijazana CCM?
 
Hiyo kawaida kwa mwafrika wakiwa sehemu watajazana ndugu,jamaa,na marafiki

Ova
 
Back
Top Bottom