Unamaanisha rais samia hana maadili ??Viongozi wengi wa kiafrika tunapenda sana kubeba ndugu na kuwaketisha viti vya mbele.
Mambo ya ukabila,udugu Ili kuzungukwa na watu mnaojuana ni kukosa weledi na kuleta mgongano wa kimaslahi.
Ziko namna nyingi za kuwabeba ndugu,sio kwaajiri katika Utumishi wa Umma,kama mnafanya Biashara au kazi za kifamilia.
Mwalimu Nyerere ndiye mwasisi wa ukabila na udugu,Akina Kikwete,Magufuli ndio alikufuru, Sasa Mama Kizimkaz amekopi na kupesti madesa
Itungwe Sheria Kali ya kuzuia kuajiri ndugu au kabila lako Kwa hila, Haina tija zaidi ya kututia umaskini.
Una maana Nape, Makamba, Kibajaji, Mwinyi na wengine walijazana CCM?Viongozi wengi wa kiafrika tunapenda sana kubeba ndugu na kuwaketisha viti vya mbele.
Mambo ya ukabila,udugu Ili kuzungukwa na watu mnaojuana ni kukosa weledi na kuleta mgongano wa kimaslahi.
Ziko namna nyingi za kuwabeba ndugu,sio kwaajiri katika Utumishi wa Umma,kama mnafanya Biashara au kazi za kifamilia.
Mwalimu Nyerere ndiye mwasisi wa ukabila na udugu,Akina Kikwete,Magufuli ndio alikufuru, Sasa Mama Kizimkaz amekopi na kupesti madesa
Itungwe Sheria Kali ya kuzuia kuajiri ndugu au kabila lako Kwa hila, Haina tija zaidi ya kututia umaskini.
Chadema mnapenda sana mambo ya Mkwe 😂😂Imagine Magufuli angeweka mkwe wake awe Waziri ofisi ya Rais😂😂
Wakwe wame wekwa kwa sababu wana vifuaKawaida sana hio ndio maana wakiharibu inakuwa ngumu kuwaadhibu
Eti wamewekanaaaaa🤣Hasa ruwasa kanda ya ziwa wamewekana
Rais na mkwewe jeUna maana Nape, Makamba, Kibajaji, Mwinyi na wengine walijazana CCM?