Kumuweka ndugu Kwa upendeleo kwenye Taasisi ya umma unayoiongoza ni kukosa Maadili

Ndio utamaduni hata kwenye serikali na mfumo yake ya ajira, zabuni na kadhalika. Ila mwisho wao unakuja.
 
Reactions: Ame
Hata kama anazo Kuna namna Kuna conflict of interest akafanye sehemu ambayo wewe huna direct influence kwake
Mzeee

Ndio maana Kuna kitu kinaitwaga """SEPARATE ENTITIES """ Usilazimishe mtu kutenda kwa hisia Mimi siku zoteee nilizo wai kupewa TAGS sijawai kua BIASED.

My friend kwangu Mimi to be honest usitegemee nikupe connection uwe ndugu au rafiki Sheria ifuate mkondo ukibebwa BEBEKA.

Na ndio maana kwenye Ancient kingdoms za huko Korea na elsewhere in the world watawala walikua wanarisishana kutoka ROYAL FAMILY so na Mambo yalikua powaaa TU
 
Sisi siyo kingdom bahati nzuri, ni Republic
 
Mtei aliharibu sana kumuweka Mkwe
Tena aliharibu sana...Watanzania wengi tupo hivyo, kitu kikikupa faida binafsi unakibatiza jina zuri lakini kama si wewe basi kinakuwa shetani
 
Imagine Magufuli angeweka mkwe wake awe Waziri ofisi ya Rais😂😂
Yule jamaa mchengerwa alikuwa waziri kabla hata mama hajawa rais !ulitaka asimweke wakati jamaa ni mchapa kaZi?acha wivu wa kike
 
Yule jamaa mchengerwa alikuwa waziri kabla hata mama hajawa rais !ulitaka asimweke wakati jamaa ni mchapa kaZi?acha wivu wa kike
Mchengerwa hajawai kuwa Waziri,kapata uwaziri baada ya Mkwe kuwa Rais!
 
Inaua uweledi
 
Mke wa Museveni ni waziri, huko Zanzibar watoto na wajukuu wa viongozi wa mapinduzi wengi wana nyadhifa kubwa serikalini na naona utamuduni huo umevuka bahati angalia watoto wa viongozi wa zamani wanavyo kwaa nyadhifa ,Mkapa,,Pinda in Kikwete,wale wa Kigogo wa Idodomya nk.
Hii ni Afrika yee
 
Huwa najiuliza ndugu yako akitia boko utaweza kumuwajibisha na kuhakikisha anapata adhabu stahiki na kunyooshwa kama mharibifu mwingine?

Kimsingi kama hilo hauwezi fanya then jua hauna sababu ya kuweka ndugu kwenye position yoyote.
 
Mchengerwa hajawai kuwa Waziri,kapata uwaziri baada ya Mkwe kuwa Rais!
Alikuwa utumishi mpaka watumishi wakawa wanatumia quotes zake kufarijiana nadhani kwenye 2019 hivi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…