Kumvua Unaibu Waziri Francis Ndulane si nafasi yakumpa muovu shetani ushindi?

Kumvua Unaibu Waziri Francis Ndulane si nafasi yakumpa muovu shetani ushindi?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Tujipe muda wakupitia clips za zamani wakati wa kampeni, baada ya kampeni, akiwa anakula kiapo Bungeni na katika uwasilishaji wake wa mada maeneo mbalimbali utabaini yupo vizuri na wala ababaiki.

Siamini nguvu za giza ila naamini shetani anaweza akajitutumua na kujipa utukufu pasipo stahili utukufu. Kuanzia jana watu wengi kwenye mitandao wamejikuta wanamtukuza shetani wakihusisha nguvu za giza katika kile kilichotokea Dodoma.

Jukumu letu Taifa la Mungu nikumshinda movu shetani kwa kumwonyesha Hana mamlaka yakuendelea kujiinua nakujizolea utukufu. Tumrudishe Francis aape upya, tumwoshe shetani kwamba tumebaini mbinu yake mbaya.

Aidha, hata tukimrejesha asiwe naibu waziri wa madini bali akakae kwenye michezo eneo alilobobea zaidi. Kumweka madini kwa uzoefu wake nikumweka karibu nakutumbuliwa Tena. Tumpe nafasi yuiponye nafsi yake na kumuaibisha ibilisi.
 
Tujipe muda wakupitia clips za zamani wakati wa kampeni, baada ya kampeni, akiwa anakula kiapo Bungeni na katika uwasilishaji wake wa mada maeneo mbalimbali utabaini yupo vizuri na wala ababaiki.

Siamini nguvu za giza ila naamini shetani anaweza akajitutumua na kujipa utukufu pasipo stahili utukufu. Kuanzia jana watu wengi kwenye mitandao wamejikuta wanamtukuza shetani wakihusisha nguvu za giza katika kile kilichotokea Dodoma.

Jukumu letu Taifa la Mungu nikumshinda movu shetani kwa kumwonyesha Hana mamlaka yakuendelea kujiinua nakujizolea utukufu. Tumrudishe Francis aape upya, tumwoshe shetani kwamba tumebaini mbinu yake mbaya.

Aidha, hata tukimrejesha asiwe naibu waziri wa madini bali akakae kwenye michezo eneo alilobobea zaidi. Kumweka madini kwa uzoefu wake nikumweka karibu nakutumbuliwa Tena. Tumpe nafasi yuiponye nafsi yake na kumuaibisha ibilisi.
Tuko kwenye himaya ya shetani. Uchafuzi wa 28/10 ulifanywa na shetani; na matokeo yake ni shetani.
 
Mizimu miwili isiyofanana yenye nguvu inapokutana mzimu dhaifu ni lzm uzidiwe nguvu
 
Sisi watumishi wa bwana tunasema" haikuwa ridhiki yake kwani kisicho ridhiki hakiliki" pia huenda bwana amemuepusha pengine na masaibu makubwa kuliko haya ambayo yangeweza kumkuta katika utumishi wake katika nafasi hii.
Kila kitu kimepangwa

#jr
 
Back
Top Bottom