Wamesikika chawa wa Mama wakijinasibu na tafsiri zao kuhusiana na alichosema Mbowe Mwanza.
Kwamba Mbowe kalazimika kusema kushughulika na CCM ni kama hivi:
Na bado chawa wa Mama wanakenua?
Wanaelewa uzito wa kauli kama hii ukizingatia Mbowe ni mtu mzima mwenye familia yake?
Si kuwa kauli hii inalenga kuonyesha ma CCM ni watu wa namna gani yanapokuja maslahi ya taifa?
Kwamba Mbowe kasema anayaheshimu sana maoni ya wengine japo msimamo wake ni kama alivyouweka wazi, na bado chawa wa Mama wanakenua?
Kumbe demokrasia maana yake nini? Au si kuwa kumbe katika CHADEMA uchawa hauna nafasi?
Kwamba Mbowe anasema ni lazima tuachane na mapande mapande ya uvyama katika kuwakabili CCM, na bado chawa wa Mama wanakenua?
Kwamba Mbowe kawasifia Samia na jeshi la polisi na Chawa wanakenua? Kwani haikuandikwa adui yako mpende?
Chawa hawa wanaelewa uzito wa kauli kama hizi kutoka kwa mtu mzima?
Chawa wa Mama wanajua kushindana kwa hoja ndiyo ulio msingi mkuu wa chama hiki ambako kumbe uchawa ni machukizo kwao?
Chawa hawa si kumbe ni kama nyani tu, washingiliao kuungua kwa miti porini?
Kwamba Mbowe kalazimika kusema kushughulika na CCM ni kama hivi:
Na bado chawa wa Mama wanakenua?
Wanaelewa uzito wa kauli kama hii ukizingatia Mbowe ni mtu mzima mwenye familia yake?
Si kuwa kauli hii inalenga kuonyesha ma CCM ni watu wa namna gani yanapokuja maslahi ya taifa?
Kwamba Mbowe kasema anayaheshimu sana maoni ya wengine japo msimamo wake ni kama alivyouweka wazi, na bado chawa wa Mama wanakenua?
Kumbe demokrasia maana yake nini? Au si kuwa kumbe katika CHADEMA uchawa hauna nafasi?
Kwamba Mbowe anasema ni lazima tuachane na mapande mapande ya uvyama katika kuwakabili CCM, na bado chawa wa Mama wanakenua?
Kwamba Mbowe kawasifia Samia na jeshi la polisi na Chawa wanakenua? Kwani haikuandikwa adui yako mpende?
Chawa hawa wanaelewa uzito wa kauli kama hizi kutoka kwa mtu mzima?
Chawa wa Mama wanajua kushindana kwa hoja ndiyo ulio msingi mkuu wa chama hiki ambako kumbe uchawa ni machukizo kwao?
Chawa hawa si kumbe ni kama nyani tu, washingiliao kuungua kwa miti porini?