Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo niandamane kuidai? Ndio mlitaka Mbowe afanye siasa hizi zilizoshindikana za kutishia maandamano na watanganyika nyie!!
Mboe yupo sawa na kama unaona si sawa, basi ujue ni sawa sawa
Nimesoma nikarudia nikasoma nikarudia. Lakini sijapata hasa lengoWamesikika chawa wa Mama wakijinasibu na tafsiri zao kuhusiana na alichosema Mbowe Mwanza.
Kwamba Mbowe kalazimika kusema kushughulika na CCM ni kama hivi:
Na bado chawa wa Mama wanakenua?
Wanaelewa uzito wa kauli kama hii ukizingatia Mbowe ni mtu mzima mwenye familia yake?
Si kuwa kauli hii inalenga kuonyesha ma CCM ni watu wa namna gani yanapokuja maslahi ya taifa?
Kwamba Mbowe kasema anayaheshimu sana maoni ya wengine japo msimamo wake ni kama alivyouweka wazi, na bado chawa wa Mama wanakenua?
Kumbe demokrasia maana yake nini? Au si kuwa kumbe katika CHADEMA uchawa hauna nafasi?
Kwamba Mbowe anasema ni lazima tuachane na mapande mapande ya uvyama katika kuwakabili CCM, na bado chawa wa Mama wanakenua?
Kwamba Mbowe kawasifia Samia na jeshi la polisi na Chawa wanakenua? Kwani haikuandikwa adui yako mpende?
Chawa hawa wanaelewa uzito wa kauli kama hizi kutoka kwa mtu mzima?
Chawa wa Mama wanajua kushindana kwa hoja ndiyo ulio msingi mkuu wa chama hiki ambako kumbe uchawa ni machukizo kwao?
Chawa hawa si kumbe ni kama nyani tu, washingiliao kuungua kwa miti porini?
Nimesoma nikarudia nikasoma nikarudia. Lakini sijapata hasa lengo
hawa viumbe tuliumbiwa sisi ili wawe wasaidizi wetu kwa zile huduma hizi na zile na ndio maana wakapewa maumbile yale!,baba ni kichwa,mama mkia!。Haya ya mifumo dume si ndiyo yule waziri hachoki kuyapigia kelele?
hawa viumbe tuliumbiwa sisi ili wawe wasaidizi wetu kwa zile huduma hizi na zile na ndio maana wakapewa maumbile yale!,baba ni kichwa,mama mkia!。
P
Mpango wa Mungu ni kuumba kiumbe cha kumtii ndipo akaona sii vema awe peke yake, ndipo akamuumbia msaidizi wa kufanana nae。 Ile temptation ni kazi ya shetani!。Una uhakika gani kuwa nasi hatukuuumbiwa wao?
Hapa ndipo mnapopotea maboya ndugu zangu na kuyakosa mema ya nchi!
Mpango wa Mungu ni kuumba kiumbe cha kumtii ndipo akaona sii vema awe peke yake, ndipo akamuumbia msaidizi wa kufanana nae。 Ile temptation ni kazi ya shetani!。
P