Kumwelewa Mbowe au CHADEMA si kwa kila mtu

Kwa hiyo niandamane kuidai? Ndio mlitaka Mbowe afanye siasa hizi zilizoshindikana za kutishia maandamano na watanganyika nyie!!
Mboe yupo sawa na kama unaona si sawa, basi ujue ni sawa sawa

Kwa hiyo anaendelea na siasa za kistaaraabu?
 
Nimesoma nikarudia nikasoma nikarudia. Lakini sijapata hasa lengo
 
Haya ya mifumo dume si ndiyo yule waziri hachoki kuyapigia kelele?
hawa viumbe tuliumbiwa sisi ili wawe wasaidizi wetu kwa zile huduma hizi na zile na ndio maana wakapewa maumbile yale!,baba ni kichwa,mama mkia!。
P
 
hawa viumbe tuliumbiwa sisi ili wawe wasaidizi wetu kwa zile huduma hizi na zile na ndio maana wakapewa maumbile yale!,baba ni kichwa,mama mkia!。
P

Una uhakika gani kuwa nasi hatukuuumbiwa wao?

Hapa ndipo mnapopotea maboya ndugu zangu na kuyakosa mema ya nchi!
 
Una uhakika gani kuwa nasi hatukuuumbiwa wao?

Hapa ndipo mnapopotea maboya ndugu zangu na kuyakosa mema ya nchi!
Mpango wa Mungu ni kuumba kiumbe cha kumtii ndipo akaona sii vema awe peke yake, ndipo akamuumbia msaidizi wa kufanana nae。 Ile temptation ni kazi ya shetani!。
P
 
Mpango wa Mungu ni kuumba kiumbe cha kumtii ndipo akaona sii vema awe peke yake, ndipo akamuumbia msaidizi wa kufanana nae。 Ile temptation ni kazi ya shetani!。
P

Hii version ya argument ina apply kwa Hindu, Budha, au hata wapagani ka kina Yeriko?

Kulikoni kudhani version yako ndiyo authentic?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…