joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
SawaYa pili inatokana na kitenzi kuonya. Ambayo ni tofauti na kuona.
Interlacustrine R yuko sahihi
Hawa Wana asili ya dini hawana dini yenyewe, wangekuwa na dini wasingemsema vibaya Bali wangemwelekeza akataze vpNa najua kwamba asilimia kubwa ya watu wanaompinga ni watu wa dini ila wakiwa kwny dini zao ni watakatifu, pia kusikiliza nyimbo hizo ni kukaririshwa ujinga, mara jibebe, mara kwkwi, nyegenyegezi na ujinga nyinginezo.
Hao lutu na nuhu walikaa kimya? Umesema walihubiri ni sawa, na ndo alichofanya huyu jamaa, kuhubur ni Ima uamrishe jambo jema au ukataze jambo ovu.Ktk dunia ya sasa hivi labda uishi kwenye dunia ya peke yako, hata Rutu na Nuhu walikiwa wanaishi na watu wadhambi sana ila bado wao wakaamua kubaki kwenye imani yao na si kwamba walikuwa hawa changamani hapana,ila still walibaki kwenye imani yao. Yesu alikuwa anakula na kunywa pamoja na wadhambi ila still alibaki kwenye msimamo wa imani yake ,huku akitumia hiyo nafasi kuhubiri Injili.
So tusijione bora au wenye haki mbele za Mungu, tujifunze kuwa wavumilivu kwenye maswala haya ya kiimani na huku tukihakikishe maswala ya dunia haya kutoi kwenye reli yako ya kiimani.
Na wewe umeingizwa mkenge.
View attachment 3257381
Sasa hiyo Yesu mwenyewe alikuwa anakaa na wadhambi? Unaielewa vipi hii line........? Nuhu na Rutu wao hawakujitenga bali waliendelea kuishi kwenye imani na misimamo ya Kimungu. Tukubali jamii yetu imeharibika,kama sio kwenye bus basi mtaani kwako unapo ishi au hata kwenye shughuli zako cha msingi shikilia imani yako.Maana kama ni hivyo labda akaishi porini na yote kwa yote hayupo msafi mbele za Mungu hilo hata Mungu analijua na ndio maana akaweka toba au vipindi hivyi vya Kwaresma,Radhani au hata mifungo binafsi unafikiri ipo kwa ajili gani?. Tuishi kwa kukamilishana kiroho na si kujiona bora.Hao lutu na nuhu walikaa kimya? Umesema walihubiri ni sawa, na ndo alichofanya huyu jamaa, kuhubur ni Ima uamrishe jambo jema au ukataze jambo ovu.
Ajitahidi asipande magari maana ni usafiri wa kidunia atembee kwa miguu maana ndiyo usafiri aliopewa na mnyaziMwamba ameshuka kabisa hataki ujinga😂, ame-fume sana, na wala hajaomba refund
Abiria wengine wamemzomea ashuke tu kwa maana anajiona yeye mtakatifu kuzidi wote.
Vp kwa upande wako uaonaje hii ishu na pia ungei solve vp?
Nakuelewa vizuri ila umeshindwa kutofautisha, hakujitenga na watu mda gani? Wanajichanganya na watu kwenye mikusanyiko na shughuli za kawaida, kama huyo jamaa alivyojichanganya kwenye usafiri, na wanajitenga pale maovu yanapofanywa na kuyakemea pia.Sasa hiyo Yesu mwenyewe alikuwa anakaa na wadhambi? Unaielewa vipi hii line........? Nuhu na Rutu wao hawakujitenga bali waliendelea kuishi kwenye imani na misimamo ya Kimungu. Tukubali jamii yetu imeharibika,kama sio kwenye bus basi mtaani kwako unapo ishi au hata kwenye shughuli zako cha msingi shikilia imani yako.Maana kama ni hivyo labda akaishi porini na yote kwa yote hayupo msafi mbele za Mungu hilo hata Mungu analijua na ndio maana akaweka toba. Tuishi kwa kukamilishana kiroho na si kujiona bora.
Dhana mara nyingi huwa ni uongoHuyo lazima atakuwa mwislamu, hawa watu n kama vile hawapo vzr kichwani
Ni mzee wa saba?Mwamba ameshuka kabisa hataki ujinga😂, ame-fume sana, na wala hajaomba refund
Abiria wengine wamemzomea ashuke tu kwa maana anajiona yeye mtakatifu kuzidi wote.
Vp kwa upande wako uaonaje hii ishu na pia ungei solve vp?
Gujamaa gunakosoa kweli kweli yaani ukitaka kuguudhi basi andika habari yoyote alafu ukosee herufi .Mwamba yupo sahihi , na hayo maneno yote yanatumika kwenye kiswahili , katika hali tofauti za muundo wa sentensi.
Kuonesha =hutumika katika hali ya kuona kitu kwa njia ya moja kwa moja .
Kuonyesha=ni neno pana zaidi katika kufanya jambo liwe wazi zaidi.
ephen_
Tena kwenye tv. Mimi leo nimeona mama anakunywa chai na vitumbua akiwa ziarani Tanga Kwenye TV tbc1.Wanakuwaga wajinga wajinga sana,. Kama yule ambaye alisema jana eti Lissu anakunywa maji hadharani sijui nini
We jamaa😀😀😀 umewaza mbali sanaSasa huyo anashuka kwenye gari kisa nyimbo ambazo hazimpendezi, lakini anashindwa kuaga dunia ambayo ina kila aina ya dhambi. Think big
Kuna mtu huku mtaani kwetu alisema hazungumzi na yeyote ambaye hajaokoka. Naona anafanana na huyo kiitikadi😀Mwamba ameshuka kabisa hataki ujinga😂, ame-fume sana, na wala hajaomba refund
Abiria wengine wamemzomea ashuke tu kwa maana anajiona yeye mtakatifu kuzidi wote.
Vp kwa upande wako uaonaje hii ishu na pia ungei solve vp?