Kuna aina ya Ukristo ambayo ni ushetani

Yani mwanamke akufokee usumjibu?
Ukae kimya
Dar imewaharibu wanaume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Hakuna UMASIKINI MBAYA kama umasikini wa FIKRA"

MWALIMU JK NYERERE.
 
Hivi Tendo la ndoa unapata kweli.Kuwa makini nguo zako zinaweza pelekwa huko kanisani kukombolewa.
 
ghalani mwake, yaani hekaluni. Leteni zaka kamili ili kiwemo chakula ghalani mwangu. ulishawahi kusoma huu mstari, au nikuanzie mbali kwasababu Biblia kwako huwa unaishika siku ya krismass tu?
Acha ufala... Mungu wako anasemaje ....Lete andiko hapa acha lepelepe.... Mnao jifanya mnajua hivyo mavitabu ndio wepeeeesiii kihukumu wakati ..mnasoma kila siku ..Usihukumu..... Kwa kihukumu kwako tu bila kunifahamu .. wewe ni MJINGA wa dini na imani.... U
 
[emoji445][emoji125]Kwa Hali uliyofikia nenda dawati la jinsia upesi [emoji445]
 
Hivi Tendo la ndoa unapata kweli.Kuwa makini nguo zako zinaweza pelekwa huko kanisani kukombolewa.
Yani acha tu. Mimi sijajua ni namna gani mtu anaweza nishawishi mwanamke aliyekumbatia dini ndio mwanamke sahihi halafu nikubaliane nae kwenye hilo. Nahesabu siku kila mmoja aende na upande wake mana yasije yakafika pabaya zaidi.
 
Mkuu tunaimani we ni mlokole mambo wanayofanya wanawake wa kilokole ni tofauti na wanayofanya walokole wanaume ambao wanajali na kuheshimu familia zao. Wachungaji wamewajenga kiimani wanawake imefika kipindi wamefurika makanisani kuliko hata waumini wanaume yaani robo tatu ya kanisa ni wanawake yaani mama yake mzazi anaugua amelazwa hosipitali lakini anaanza kutatua shida ya mchungaji kwanza mama yake ndio afuate. Kimsingi mwanamke wa kilokole muache aolewe na mlokole mwenzake sababu kwake mume na mchungaji ataanza kutii matakwa ya mchungaji we utafuata badae ushauri utakao mpa anaona ni upuuzi tu.Kama unampango wa kuoa mwanamke wa kilokole na we si mlokole tayari unajitwisha zigo ambalo litakutesa maisha yako yote na utakuja kuleta uzi hapa.
 
kwanza,naomba usichanganye ulokole na hao mwamposa na wezi wengine. pili, bora mkeo aende church kuliko bar na mabarabarani. wanapona mengi sana huko na hata wakifanya makosa hawafanyi makosa mengi kama yale ambayo wangeyafanya wasingeenda huko.ni ushauri tu. wenye akili wengi tu hata wasio sali wamefukuzia wake zao makanisani, unajua ni kwanini?
 
We akili huna kbsa au zipo m*takoni,.
Uyo mkeo ulimchagua wewe na alikua mlokole kilichokuvutia ni mat*ko na sio akili ,
Kuna walokole Wana akili smart huyo mkeo ni matatizo yake tu,

Ten % ni muhim lakin 90 % muulize inaenda wap ,.
Akili zako ziwe zinakaa sawa sometimes
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana kama kwel pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…