Kuna aina ya Ukristo ambayo ni ushetani

Kuna aina ya Ukristo ambayo ni ushetani

Kaka nilifukuruw nikupe nondo zote l'île Inbox lakini ngoja nikumegee hapa chache tu.

La kwanza hakikisha Imani ya mwenzako
Kwa kuanzia ishi kwa principle.
Rules zifuatazk zitakusaidia

Rule Number 1

Mume Ni kichwa usitegemee kipato Cha mwanamke kuendesha familiar yako.
Maana yake Ni kwamba muache mke awe na vitega uchumi vyake Ila anzisha vitega uchumi vya familiar ambavyo wewe ndio msimamizi wake. Ni ngumu kuanzisha vitega uchumi ambavyo utavisimamia wewe mwenyewe wakati wewe Ni muajiriwa wa kazini. Ila unawezakana kutafuta vitega uchumi vya wewe kusimamia hata kwa remote.

Rule number 2
Tafuta suluhu za matatizo au gaps anazoppita malke wako mfano hataki uwashe AC jibu lake Jenga nyumba nyingine hata kama ni hapo nyumbani weka LUKU nyingine
Leta mboga nyumbani of your choice.

Rule No 3
Jenga mji mwingine Kama back up akikuudhi sana Hama hata kwa muda unakuja kumshughulikia unarudi kwenye mji mpya wako ambako unaweka vitega uchumi vingine vinavyokulazimisha kukaa mbali nae na umakuwa na kisingizio Cha uzalishaji huko mbali nae

Rule No 4
Jiamini akikufokea usimjibu wewe kaa na principle tu.

Hayo ni machache tumeyaishi
Atajirudi mwenyewe
Yani mwanamke akufokee usumjibu?
Ukae kimya
Dar imewaharibu wanaume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Hakuna UMASIKINI MBAYA kama umasikini wa FIKRA"

MWALIMU JK NYERERE.
 
Nakubaliana na wewe kwamba kuna ukristo ambao ni ushetani kwa uthibitisho. Mwenza wangu anakwenda kanisani kila siku kuanzia Jumamosi mpaka Ijumaa, mafunzo anayokwenda kuyapata huko anayajua yeye lakini tangu ameanza hizo mambo kazidi kuwa kama mwehu. Muda wote na notebooks anasoma hayo wanayofundishwa huko kiasi hadi inafikia stage mtoto anataka kujisaidia anadiriki kuniambia nimsaidie kumpeleka kujisaidia na nikisema nenda kampeleke basi ni ugomvi na anafika kumwambia mtoto jisaidie hapo hapo nikimaliza kazi zangu nitazoa. Heshima imeenda yani anaweza kuniambia chochote anachojiskia bila chembe ya aibu. Kwenda huko kanisani haitaji ruhusa kutoka kwangu ila anajiamulia mwenyewe. Kinachonifanya niamini ni huko kanisani, kuna mmama jirani wanasali kanisa moja, kila akirudi atakaa nae waongee yaliyotokea huko. Yani maandamano ya kanisa yeye humtoi lazima awepo kiufupi ni kero. Kama umempata mchumba wako kanisani na mnapendana basi endelea nae lakini kama upo single basi sishauri uwe na mwanamke anaejifanya anaipenda dini kupita kiasi. Utakuja kujuta baadae mana hawa ni watu wanaoongoza kutokujali mahusiano yao kwa kufatilia dini. Haoni hatari kukukosea heshima eti kwa sababu anadefend mchungaji au neno la mchungaji
Hivi Tendo la ndoa unapata kweli.Kuwa makini nguo zako zinaweza pelekwa huko kanisani kukombolewa.
 
ghalani mwake, yaani hekaluni. Leteni zaka kamili ili kiwemo chakula ghalani mwangu. ulishawahi kusoma huu mstari, au nikuanzie mbali kwasababu Biblia kwako huwa unaishika siku ya krismass tu?
Acha ufala... Mungu wako anasemaje ....Lete andiko hapa acha lepelepe.... Mnao jifanya mnajua hivyo mavitabu ndio wepeeeesiii kihukumu wakati ..mnasoma kila siku ..Usihukumu..... Kwa kihukumu kwako tu bila kunifahamu .. wewe ni MJINGA wa dini na imani.... U
 
[emoji445][emoji125]Kwa Hali uliyofikia nenda dawati la jinsia upesi [emoji445]
 
Hivi Tendo la ndoa unapata kweli.Kuwa makini nguo zako zinaweza pelekwa huko kanisani kukombolewa.
Yani acha tu. Mimi sijajua ni namna gani mtu anaweza nishawishi mwanamke aliyekumbatia dini ndio mwanamke sahihi halafu nikubaliane nae kwenye hilo. Nahesabu siku kila mmoja aende na upande wake mana yasije yakafika pabaya zaidi.
 
usijipangie pa kupeleka, usimpangie Mungu, utii ni bora kuliko sadaka yako, Neno la Mungu linasema tupeleke zaka ghalani mwake, yaani kwenye nyumba ya Mungu na tangu enzi ilikusudiwa kwa ajili ya walawi, yaani makuhani (wachungaji, mapadre n.k kwa sasa) kwasababu wao hawalimi, wahana vitega uchumi na wanatumia muda mwingi ambao wangetumia kwenye mambo yao binafsi wao wanautumia kwa ajili ya kazi ya Mungu hivo Mungu aliiunda hilo ili uwe ndio ujira wake, unapofanya unakuwa hauwatumikii wao bali unamtii Mungu na wewe thawabu yako haitatoka kwa hao wanadamu bali kwa Mungu aliyeelekeza.

kwenye Biblia yapo maneno mengi tofauti na kwa madhumuni tofauti, ipo mistari inayoelekeza tusaidie masikini na wahitaji, pia ipo inayotaka tutue kwa ajili ya kazi ya Mungu, na ipo inayosema tutoe fungu la kumi n.k, kima maelekezo yana nafasi yake na lengo lake, hautakiwi kuchanganya. wanadamu wengi huwa wanamini Mungu alikosea kuelekeza kwa namna fulani, wanajaribu kurekebisha kwa kuweka vile wao wanataka. siku zote watu wa aina yako huwa ni wale ambao hata pesa au mali hawajazipata kwa njia ya Kimungu, wamezipata kwa dhurma, wizi na uchafu mwingine, na Mungu wala hahitaji sadaka zenu chafu za aina hiyo, maelekezo haya yanaenda kwa wale wanaozipata kwa haki na uhalali na hao ndio watakaopata thawabu. kiburi cha mwanadamu imefika mahali anataka kuyaelekeza Maneno ya Mungu yaendane vile yeye anavyoona inafaa, icho ni kiburi ambacho nakuhakikishia kuna siku Mungu atakishusha. Mungu huwapiga wenye kiburi lakini huwapa wanyenyekevu neema.
Mkuu tunaimani we ni mlokole mambo wanayofanya wanawake wa kilokole ni tofauti na wanayofanya walokole wanaume ambao wanajali na kuheshimu familia zao. Wachungaji wamewajenga kiimani wanawake imefika kipindi wamefurika makanisani kuliko hata waumini wanaume yaani robo tatu ya kanisa ni wanawake yaani mama yake mzazi anaugua amelazwa hosipitali lakini anaanza kutatua shida ya mchungaji kwanza mama yake ndio afuate. Kimsingi mwanamke wa kilokole muache aolewe na mlokole mwenzake sababu kwake mume na mchungaji ataanza kutii matakwa ya mchungaji we utafuata badae ushauri utakao mpa anaona ni upuuzi tu.Kama unampango wa kuoa mwanamke wa kilokole na we si mlokole tayari unajitwisha zigo ambalo litakutesa maisha yako yote na utakuja kuleta uzi hapa.
 
Mkuu tunaimani we ni mlokole mambo wanayofanya wanawake wa kilokole ni tofauti na wanayofanya walokole wanaume ambao wanajali na kuheshimu familia zao. Wachungaji wamewajenga kiimani wanawake imefika kipindi wamefurika makanisani kuliko hata waumini wanaume yaani robo tatu ya kanisa ni wanawake yaani mama yake mzazi anaugua amelazwa hosipitali lakini anaanza kutatua shida ya mchungaji kwanza mama yake ndio afuate. Kimsingi mwanamke wa kilokole muache aolewe na mlokole mwenzake sababu kwake mume na mchungaji ataanza kutii matakwa ya mchungaji we utafuata badae ushauri utakao mpa anaona ni upuuzi tu.Kama unampango wa kuoa mwanamke wa kilokole na we si mlokole tayari unajitwisha zigo ambalo litakutesa maisha yako yote na utakuja kuleta uzi hapa.
kwanza,naomba usichanganye ulokole na hao mwamposa na wezi wengine. pili, bora mkeo aende church kuliko bar na mabarabarani. wanapona mengi sana huko na hata wakifanya makosa hawafanyi makosa mengi kama yale ambayo wangeyafanya wasingeenda huko.ni ushauri tu. wenye akili wengi tu hata wasio sali wamefukuzia wake zao makanisani, unajua ni kwanini?
 
Simsemi mke wangu vibaya, ila ndio tumecharurana na saa hizi naenda kulala bar.

Mkiona napost post za kilokole, basi junior kwamba mke wangunni mlokole nguli, ila ulokole wake unanifanya na mimi niwe mlevi nguli.

Mke wangu ana mabanda ya kuku hapa uani, kuku wake wanamulikwa na taa za umeme lukuki kupata joto.

Mi nikiwasha ac au hata feni dakika kidogo tu, tutagombana wiki nzima. Leo katoka shopping ya wiki kakuta najipepea na feni tu, kawasha moto namaliza umeme, utadhani matako yake yameshawahi kununua hata unit moja.

Hii mianamke ya kilokole isiyo na akili msiioe, ni hatari kwa furaha ya nyumba yenu.

Anafuga kuku, ten pasenti inaenda kwa mchungaji. Kuku wakubwa wa mwanzo anawaita limbuko anampa mchungaji, yaani ujinga mtupu.

Kasheshe ni kubwa kuishi na likitu hili. Mchungaji analishwa makuku wakubwa wakubwa, mimi sili kuku hadi nilishwe magendo vibudu vya kuku waliokufa.

Good enough nina mahusiano mazuri sana na watenda kazi wangu, kuanzia bandani, garden hadi jikoni, navujishiwa za ndani zote.

Mara mlokole ajaribu kuniwekea sumu, mara ajaribu kunikisha limbwata, mar amfukuze.mama yangu na ndugu zangu, mara aniambie utakufa mapema, hutakiwi kutuficha mali zako.

Jamani wanawake mmepatwa na kinyamkera gani?
We akili huna kbsa au zipo m*takoni,.
Uyo mkeo ulimchagua wewe na alikua mlokole kilichokuvutia ni mat*ko na sio akili ,
Kuna walokole Wana akili smart huyo mkeo ni matatizo yake tu,

Ten % ni muhim lakin 90 % muulize inaenda wap ,.
Akili zako ziwe zinakaa sawa sometimes
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana kama kwel pole sana
 
Back
Top Bottom