Kuna aina ya Ukristo ambayo ni ushetani

Kuna aina ya Ukristo ambayo ni ushetani

Na bado unaishi nae..? Dini huwa baadhi ya wahuni huigeuza kichaka cha kificha maovu yao. Huyo sio mlokole ila mchawi muuaji
Simsemi mke wangu vibaya, ila ndio tumecharurana na saa hizi naenda kulala bar.

Mkiona napost post za kilokole, basi junior kwamba mke wangunni mlokole nguli, ila ulokole wake unanifanya na mimi niwe mlevi nguli.

Mke wangu ana mabanda ya kuku hapa uani, kuku wake wanamulikwa na taa za umeme lukuki kupata joto.

Mi nikiwasha ac au hata feni dakika kidogo tu, tutagombana wiki nzima. Leo katoka shopping ya wiki kakuta najipepea na feni tu, kawasha moto namaliza umeme, utadhani matako yake yameshawahi kununua hata unit moja.

Hii mianamke ya kilokole isiyo na akili msiioe, ni hatari kwa furaha ya nyumba yenu.

Anafuga kuku, ten pasenti inaenda kwa mchungaji. Kuku wakubwa wa mwanzo anawaita limbuko anampa mchungaji, yaani ujinga mtupu.

Kasheshe ni kubwa kuishi na likitu hili. Mchungaji analishwa makuku wakubwa wakubwa, mimi sili kuku hadi nilishwe magendo vibudu vya kuku waliokufa.

Good enough nina mahusiano mazuri sana na watenda kazi wangu, kuanzia bandani, garden hadi jikoni, navujishiwa za ndani zote.

Mara mlokole ajaribu kuniwekea sumu, mara ajaribu kunikisha limbwata, mar amfukuze.mama yangu na ndugu zangu, mara aniambie utakufa mapema, hutakiwi kutuficha mali zako.

Jamani wanawake mmepatwa na kinyamkera gani?
 
Hii mianamke ya kilokole isiyo na akili msiioe, ni hatari kwa furaha ya nyumba yenu.
Mwanamke amchaye BWANA ndio atakaye sifiwa. Mpendwa, mpende mkeo kama unavyojipenda ya mkini huyo ndio anayekuombea usalama usibutuliwe na watoa kafara pindi utokapo kwenye ulevi. Mpende, mtunze, bila kutazama madhaifu yake maana binadamu hatujakamilika.
 
Simsemi mke wangu vibaya, ila ndio tumecharurana na saa hizi naenda kulala bar.

Mkiona napost post za kilokole, basi junior kwamba mke wangunni mlokole nguli, ila ulokole wake unanifanya na mimi niwe mlevi nguli.

Mke wangu ana mabanda ya kuku hapa uani, kuku wake wanamulikwa na taa za umeme lukuki kupata joto.

Mi nikiwasha ac au hata feni dakika kidogo tu, tutagombana wiki nzima. Leo katoka shopping ya wiki kakuta najipepea na feni tu, kawasha moto namaliza umeme, utadhani matako yake yameshawahi kununua hata unit moja.

Hii mianamke ya kilokole isiyo na akili msiioe, ni hatari kwa furaha ya nyumba yenu.

Anafuga kuku, ten pasenti inaenda kwa mchungaji. Kuku wakubwa wa mwanzo anawaita limbuko anampa mchungaji, yaani ujinga mtupu.

Kasheshe ni kubwa kuishi na likitu hili. Mchungaji analishwa makuku wakubwa wakubwa, mimi sili kuku hadi nilishwe magendo vibudu vya kuku waliokufa.

Good enough nina mahusiano mazuri sana na watenda kazi wangu, kuanzia bandani, garden hadi jikoni, navujishiwa za ndani zote.

Mara mlokole ajaribu kuniwekea sumu, mara ajaribu kunikisha limbwata, mar amfukuze.mama yangu na ndugu zangu, mara aniambie utakufa mapema, hutakiwi kutuficha mali zako.

Jamani wanawake mmepatwa na kinyamkera gani?
Wa kwangu hapa tangu anichezee picha la kichawi la ki Nigeria nipo njia panda na hivi ni mjamzito tena Aiseh Mungu atusaidie KWAKWELI!!
 
binafsi naishi kwa namna hiyo pia, na nimebarikiwa sana kwasababu hiyo, na hakuna mtu ambaye huwa anasimama kupambana na mimi kwa chochote lazima ashindwe kwasababu mimi sipigani peke yangu, ninapiganiwa na Mungu. kama haujui, Mungu sio fukara, Mungu sio maskini, ila anahitaji ushirikiano nasi just kuonyesha kwamba tunampenda na kumtiii, that's all he needs. ndio maana ipo sheria ya kiroho kabisa (sio sheria kama za wasabato, ila ni spiritual law) ambayo kwa kitu chochote unachozalisha, kabla haujakula matunda yake, yale mavuno ya mwanzo unatakiwa kumpa Mungu, na sio lazima umpe yoooote, hapana ni vile moyo utakavyoamua ila cha muhimu usile kabla Mungu hajala, unampa Mungu ale kwanza ndio wewe ule. (INAITWA MALIMBUKO), kwa namna hiyo, nimeshuhudia kwa maisha yangu, kila project ninayofanya hivyo huwa inakuwa bora kuliko chochote.

kitu kingine, fungu la kumi limekuwa likipingwa na wengi sana hasa siku hizi za manabii wa uongo, mimi pia nilishawahi kuwa convinced sana nao hasa wale wanaopiga, lakini cha ajabu nikamsikiliza mtu wa Mungu mmoja hivi aliyesema na yeye alishawahi kuhubiriwa sana moyoni kwamba fungu la kumi sio la nyakati hizi, ni la nyakati za kale, LAKINI AKASEMA, AKAAMUA AJARIBU MAISHA YA FUNGU LA KUMI NA YASIYO YA FUNGU LA KUMI YANAFANANAJE? Akaja kugundua kwamba, miezi ile ametoa fungu la kumi anapokea faida na baraka kuliko miezi ile ameiba fungu la kumbi ambayo matatizo mengi hutafuta mtaji na pesa zake, conclusion yake ikawa ni kwamba fungu la kumi ni lazima kwa kumtii Mungu na bado ni spiritual law. hata Yesu alisema, mafarisayo wamekazania kutoa fungu la kumi na kusahau mambo ya msingi (utakatifu) akawaambia mnatakiwa kuushika utakatifu, "na hayo pia (akimaanisha fungu la kumi) msiache". hivyo Yesu mwenyewe alisema hata pamoja na kufuata mambo mengine ya kimungu hatutakiwi kuacha kutoa fungu la kumi.

Mimi pia nilifanya utafiti kwa experiencwe yangu kabisa, na ninashuhudia kwa moyo wangu wote wala sisemi uongo, nimethibitisha kuwa fungu la kumi ni la lazima kama unataka kubarikiwa na Mungu. Roho Mtakatifu pia ananishuhudia kila siku kwamba fungu la kumi ni lazima na usipotoa ni dhambi kwasababu unakaidi sheria ya rohoni ya Mungu aliyoitoa kitabu cha Malaki. kuna project moja nilihangaika nayo sana miaka 5, ikasimama, sikutoa limbuko, wala fungu la kumi, ile project niliishia tu kupata mtaji nilioanzishia, faida yote ililiwa na magonjwa, ndugu, wezi na mambo kibao.

mwaka 2019 nikaanzisha project tena kama ile ile ya awali, maana ile ya awali ilikufa nikasahau kabisa shughuli hizo. nikauza, mauzo yangu ya awali, tena yalikuwa laki moja tu, nikaipeleka church kama sadaka ya malimbuko kabla sijaanza kula matunda ya ile project. kilichofuata, products zangu au niseme shughuli zangu zilianza kubarikiwa na hakuna ambaye huwa anasimama dhidi yangu, ni kama kuna kaupako/kibali fulani, wengi wanaanzisha project kama yangu na hata wakiweka karibu yangu wanaondoka wenyewe, na situmii uchawi wala dawa.

Mungu ameahidi tukitoa fungu la kumi yeye atamkemea alaye na kuharibu mazao/shughuli zetu. na pia kwa habari ya malimbuko, ukimpa Mungu ale kwanza faida ya kile ulichoanzisha nakuhakikishia along that business Mungu ataenda pamoja na wewe, atapambana na wale wanaokuhujumu na wewe binafsi hautapambana bali Mungu atakupambania. unakuwa umemheshimu Mungu, umemuweka yeye kwanza na wewe ufuate, hivyo Mungu atakutangulia kwenye shughuli zako zote na kila unachokifanya, nimethibitisha hili na ninawashauri wote msisikilize maneno ya manabii wa uongo na wapotoshaji wanaotumiwa na shetani. pia jueni kumtii Mungu ni uamzi wa binafsi, chagueni kufuata au kutofuata, kwasababu kwa kila uamuzi utakaoutumia utafuatana na matokeo ya kule ulikochagua.

nilikuwa nashangaa zamani kwanini Mungu ameandika kuwa, "onjeni muone kwamba Bwana yu mwema, heri mtu yule atakayemtumaini", kumbe Mungu anajua wanadamu ni wabishi na wanapenda kufuata upotoshaji wa mashetani, ndio maana anasema jaribuni kufanya hata haya kwa mfano, jaribuni kwa maisha yenu kutoa fungu la kumi na kutoa limbuko, halafu muone kama Bwana hatakuwa mwema kwenu. nina uhakika Mungu ni wa kuaminiwa, na atajidhihirisha hata wewe uliyeandika hapa utakuja kuwa balozi wa wenzako. jaribu tu, ukiona kweli haujaona matokeo chanya, basi labda atakuwa sio huyu Mungu ninayemwamini mimi na ambaye nimemwona maishani mwangu.

NB: fungu la kumi sio la kutoa kila sehemu, unaweza kutoa kwa manabii wa uongo wanaotumiwa na shetani, ikawa haijaenda kwa Mungu imeenda kwa mashetani, toa sehemu ambako kuna Mungu wa kweli, sehemu wanayoamini wokovu wa Yesu Kristo, sio sehemu wanayoabudu masanamu na maria, na sio sehemu wanayotumia mafuta na chumvi badala ya kutumia Jina la Yesu. toa sehemu ambayo wameokoka na wewe uokoke ndio matokeo yote hayo utayaona. all in all, utii ni wa muhimu kuliko dhabihu, na kwenda kwako kanisani, tii Neno la Mungu.
Bonge la gazeti.... Kwani fungu la kumi lazima upeleke kanisani!!?? Ukilitemga fungu lako la kumi ukalipeleka Kwa wenye uhitaji na sio kanisani Kuna shida!!?
 
Biblia haisemi upeleke kwa watu wenye shida, usiishi kwa hisia zako, uishi kwa kutii kile Mungu amesema, Mungu angetaka upeleke kwa watu hao angesema, hajasema hivo na usijichagulie pa kupeleka. wanadamu wengi wan akiburi cha uzima na huwa wanapenda kujitengenezea sheria zao wenyewe wakiamini wao binafsi wanaweza kujitengenezea utaratibu wa kuishi. kutii ni bora kuliko sadaka yako.
Mungu wako amesema upeleke wapi.....mbona mnajipa majukumu Mungu hawajawapa!!! Mungu wako alisema tupeleke wapi!!?
 
binafsi naishi kwa namna hiyo pia, na nimebarikiwa sana kwasababu hiyo, na hakuna mtu ambaye huwa anasimama kupambana na mimi kwa chochote lazima ashindwe kwasababu mimi sipigani peke yangu, ninapiganiwa na Mungu. kama haujui, Mungu sio fukara, Mungu sio maskini, ila anahitaji ushirikiano nasi just kuonyesha kwamba tunampenda na kumtiii, that's all he needs. ndio maana ipo sheria ya kiroho kabisa (sio sheria kama za wasabato, ila ni spiritual law) ambayo kwa kitu chochote unachozalisha, kabla haujakula matunda yake, yale mavuno ya mwanzo unatakiwa kumpa Mungu, na sio lazima umpe yoooote, hapana ni vile moyo utakavyoamua ila cha muhimu usile kabla Mungu hajala, unampa Mungu ale kwanza ndio wewe ule. (INAITWA MALIMBUKO), kwa namna hiyo, nimeshuhudia kwa maisha yangu, kila project ninayofanya hivyo huwa inakuwa bora kuliko chochote.

kitu kingine, fungu la kumi limekuwa likipingwa na wengi sana hasa siku hizi za manabii wa uongo, mimi pia nilishawahi kuwa convinced sana nao hasa wale wanaopiga, lakini cha ajabu nikamsikiliza mtu wa Mungu mmoja hivi aliyesema na yeye alishawahi kuhubiriwa sana moyoni kwamba fungu la kumi sio la nyakati hizi, ni la nyakati za kale, LAKINI AKASEMA, AKAAMUA AJARIBU MAISHA YA FUNGU LA KUMI NA YASIYO YA FUNGU LA KUMI YANAFANANAJE? Akaja kugundua kwamba, miezi ile ametoa fungu la kumi anapokea faida na baraka kuliko miezi ile ameiba fungu la kumbi ambayo matatizo mengi hutafuta mtaji na pesa zake, conclusion yake ikawa ni kwamba fungu la kumi ni lazima kwa kumtii Mungu na bado ni spiritual law. hata Yesu alisema, mafarisayo wamekazania kutoa fungu la kumi na kusahau mambo ya msingi (utakatifu) akawaambia mnatakiwa kuushika utakatifu, "na hayo pia (akimaanisha fungu la kumi) msiache". hivyo Yesu mwenyewe alisema hata pamoja na kufuata mambo mengine ya kimungu hatutakiwi kuacha kutoa fungu la kumi.

Mimi pia nilifanya utafiti kwa experiencwe yangu kabisa, na ninashuhudia kwa moyo wangu wote wala sisemi uongo, nimethibitisha kuwa fungu la kumi ni la lazima kama unataka kubarikiwa na Mungu. Roho Mtakatifu pia ananishuhudia kila siku kwamba fungu la kumi ni lazima na usipotoa ni dhambi kwasababu unakaidi sheria ya rohoni ya Mungu aliyoitoa kitabu cha Malaki. kuna project moja nilihangaika nayo sana miaka 5, ikasimama, sikutoa limbuko, wala fungu la kumi, ile project niliishia tu kupata mtaji nilioanzishia, faida yote ililiwa na magonjwa, ndugu, wezi na mambo kibao.

mwaka 2019 nikaanzisha project tena kama ile ile ya awali, maana ile ya awali ilikufa nikasahau kabisa shughuli hizo. nikauza, mauzo yangu ya awali, tena yalikuwa laki moja tu, nikaipeleka church kama sadaka ya malimbuko kabla sijaanza kula matunda ya ile project. kilichofuata, products zangu au niseme shughuli zangu zilianza kubarikiwa na hakuna ambaye huwa anasimama dhidi yangu, ni kama kuna kaupako/kibali fulani, wengi wanaanzisha project kama yangu na hata wakiweka karibu yangu wanaondoka wenyewe, na situmii uchawi wala dawa.

Mungu ameahidi tukitoa fungu la kumi yeye atamkemea alaye na kuharibu mazao/shughuli zetu. na pia kwa habari ya malimbuko, ukimpa Mungu ale kwanza faida ya kile ulichoanzisha nakuhakikishia along that business Mungu ataenda pamoja na wewe, atapambana na wale wanaokuhujumu na wewe binafsi hautapambana bali Mungu atakupambania. unakuwa umemheshimu Mungu, umemuweka yeye kwanza na wewe ufuate, hivyo Mungu atakutangulia kwenye shughuli zako zote na kila unachokifanya, nimethibitisha hili na ninawashauri wote msisikilize maneno ya manabii wa uongo na wapotoshaji wanaotumiwa na shetani. pia jueni kumtii Mungu ni uamzi wa binafsi, chagueni kufuata au kutofuata, kwasababu kwa kila uamuzi utakaoutumia utafuatana na matokeo ya kule ulikochagua.

nilikuwa nashangaa zamani kwanini Mungu ameandika kuwa, "onjeni muone kwamba Bwana yu mwema, heri mtu yule atakayemtumaini", kumbe Mungu anajua wanadamu ni wabishi na wanapenda kufuata upotoshaji wa mashetani, ndio maana anasema jaribuni kufanya hata haya kwa mfano, jaribuni kwa maisha yenu kutoa fungu la kumi na kutoa limbuko, halafu muone kama Bwana hatakuwa mwema kwenu. nina uhakika Mungu ni wa kuaminiwa, na atajidhihirisha hata wewe uliyeandika hapa utakuja kuwa balozi wa wenzako. jaribu tu, ukiona kweli haujaona matokeo chanya, basi labda atakuwa sio huyu Mungu ninayemwamini mimi na ambaye nimemwona maishani mwangu.

NB: fungu la kumi sio la kutoa kila sehemu, unaweza kutoa kwa manabii wa uongo wanaotumiwa na shetani, ikawa haijaenda kwa Mungu imeenda kwa mashetani, toa sehemu ambako kuna Mungu wa kweli, sehemu wanayoamini wokovu wa Yesu Kristo, sio sehemu wanayoabudu masanamu na maria, na sio sehemu wanayotumia mafuta na chumvi badala ya kutumia Jina la Yesu. toa sehemu ambayo wameokoka na wewe uokoke ndio matokeo yote hayo utayaona. all in all, utii ni wa muhimu kuliko dhabihu, na kwenda kwako kanisani, tii Neno la Mungu.
Wewe sasa ndio umeconfirm hapa kwamba Walokole wengi ni machizi.

Yani Mungu alishwe na binadamu kweli na wewe wasadiki hili?

Yani pesa Mchungaji anenda kununuwa Prado wewe unasema ni malimbuko unamlisha Mungu kwanza upo timamu kichwani?

Kiranga hebu angalia hizi Ng'ombe eti Mungu analishwa na wao!
 
Simsemi mke wangu vibaya, ila ndio tumecharurana na saa hizi naenda kulala bar.

Mkiona napost post za kilokole, basi junior kwamba mke wangunni mlokole nguli, ila ulokole wake unanifanya na mimi niwe mlevi nguli.

Mke wangu ana mabanda ya kuku hapa uani, kuku wake wanamulikwa na taa za umeme lukuki kupata joto.

Mi nikiwasha ac au hata feni dakika kidogo tu, tutagombana wiki nzima. Leo katoka shopping ya wiki kakuta najipepea na feni tu, kawasha moto namaliza umeme, utadhani matako yake yameshawahi kununua hata unit moja.

Hii mianamke ya kilokole isiyo na akili msiioe, ni hatari kwa furaha ya nyumba yenu.

Anafuga kuku, ten pasenti inaenda kwa mchungaji. Kuku wakubwa wa mwanzo anawaita limbuko anampa mchungaji, yaani ujinga mtupu.

Kasheshe ni kubwa kuishi na likitu hili. Mchungaji analishwa makuku wakubwa wakubwa, mimi sili kuku hadi nilishwe magendo vibudu vya kuku waliokufa.

Good enough nina mahusiano mazuri sana na watenda kazi wangu, kuanzia bandani, garden hadi jikoni, navujishiwa za ndani zote.

Mara mlokole ajaribu kuniwekea sumu, mara ajaribu kunikisha limbwata, mar amfukuze.mama yangu na ndugu zangu, mara aniambie utakufa mapema, hutakiwi kutuficha mali zako.

Jamani wanawake mmepatwa na kinyamkera gani?
Kaka pole sana. Pamoja n'a approach uliotumia kufikisha ujumbr kuwa na negative nyigi Sana kufanya mesg yako kuwa ngumu kueleweka Ila kwa mimi nimelewa. Natamani nikisaidie kwenye Hilo. Pôle sana. Nitatute Inbox nikups dawa ya haya matatizo ya janga hili. Unawwleza jikuta una murder case kaka usipokuwa makini
 
Kaka pole sana. Pamoja n'a approach uliotumia kufikisha ujumbr kuwa na negative nyigi Sana kufanya mesg yako kuwa ngumu kueleweka Ila kwa mimi nimelewa. Natamani nikisaidie kwenye Hilo. Pôle sana. Nitatute Inbox nikups dawa ya haya matatizo ya janga hili. Unawwleza jikuta una murder case kaka usipokuwa makini
Ukiweka msaada huo hapa hadharani utakuwa umewasaidia wengi. Asante kaka
 
Simsemi mke wangu vibaya, ila ndio tumecharurana na saa hizi naenda kulala bar.

Mkiona napost post za kilokole, basi junior kwamba mke wangunni mlokole nguli, ila ulokole wake unanifanya na mimi niwe mlevi nguli.

Mke wangu ana mabanda ya kuku hapa uani, kuku wake wanamulikwa na taa za umeme lukuki kupata joto.

Mi nikiwasha ac au hata feni dakika kidogo tu, tutagombana wiki nzima. Leo katoka shopping ya wiki kakuta najipepea na feni tu, kawasha moto namaliza umeme, utadhani matako yake yameshawahi kununua hata unit moja.

Hii mianamke ya kilokole isiyo na akili msiioe, ni hatari kwa furaha ya nyumba yenu.

Anafuga kuku, ten pasenti inaenda kwa mchungaji. Kuku wakubwa wa mwanzo anawaita limbuko anampa mchungaji, yaani ujinga mtupu.

Kasheshe ni kubwa kuishi na likitu hili. Mchungaji analishwa makuku wakubwa wakubwa, mimi sili kuku hadi nilishwe magendo vibudu vya kuku waliokufa.

Good enough nina mahusiano mazuri sana na watenda kazi wangu, kuanzia bandani, garden hadi jikoni, navujishiwa za ndani zote.

Mara mlokole ajaribu kuniwekea sumu, mara ajaribu kunikisha limbwata, mar amfukuze.mama yangu na ndugu zangu, mara aniambie utakufa mapema, hutakiwi kutuficha mali zako.

Jamani wanawake mmepatwa na kinyamkera gani?
Pole, ndio chaguo lako hilo!
 
Simsemi mke wangu vibaya, ila ndio tumecharurana na saa hizi naenda kulala bar.

Mkiona napost post za kilokole, basi junior kwamba mke wangunni mlokole nguli, ila ulokole wake unanifanya na mimi niwe mlevi nguli.

Mke wangu ana mabanda ya kuku hapa uani, kuku wake wanamulikwa na taa za umeme lukuki kupata joto.

Mi nikiwasha ac au hata feni dakika kidogo tu, tutagombana wiki nzima. Leo katoka shopping ya wiki kakuta najipepea na feni tu, kawasha moto namaliza umeme, utadhani matako yake yameshawahi kununua hata unit moja.

Hii mianamke ya kilokole isiyo na akili msiioe, ni hatari kwa furaha ya nyumba yenu.

Anafuga kuku, ten pasenti inaenda kwa mchungaji. Kuku wakubwa wa mwanzo anawaita limbuko anampa mchungaji, yaani ujinga mtupu.

Kasheshe ni kubwa kuishi na likitu hili. Mchungaji analishwa makuku wakubwa wakubwa, mimi sili kuku hadi nilishwe magendo vibudu vya kuku waliokufa.

Good enough nina mahusiano mazuri sana na watenda kazi wangu, kuanzia bandani, garden hadi jikoni, navujishiwa za ndani zote.

Mara mlokole ajaribu kuniwekea sumu, mara ajaribu kunikisha limbwata, mar amfukuze.mama yangu na ndugu zangu, mara aniambie utakufa mapema, hutakiwi kutuficha mali zako.

Jamani wanawake mmepatwa na kinyamkera gani?
Kaka nilifukuruw nikupe nondo zote l'île Inbox lakini ngoja nikumegee hapa chache tu.

La kwanza hakikisha Imani ya mwenzako
Kwa kuanzia ishi kwa principle.
Rules zifuatazk zitakusaidia

Rule Number 1

Mume Ni kichwa usitegemee kipato Cha mwanamke kuendesha familiar yako.
Maana yake Ni kwamba muache mke awe na vitega uchumi vyake Ila anzisha vitega uchumi vya familiar ambavyo wewe ndio msimamizi wake. Ni ngumu kuanzisha vitega uchumi ambavyo utavisimamia wewe mwenyewe wakati wewe Ni muajiriwa wa kazini. Ila unawezakana kutafuta vitega uchumi vya wewe kusimamia hata kwa remote.

Rule number 2
Tafuta suluhu za matatizo au gaps anazoppita malke wako mfano hataki uwashe AC jibu lake Jenga nyumba nyingine hata kama ni hapo nyumbani weka LUKU nyingine
Leta mboga nyumbani of your choice.

Rule No 3
Jenga mji mwingine Kama back up akikuudhi sana Hama hata kwa muda unakuja kumshughulikia unarudi kwenye mji mpya wako ambako unaweka vitega uchumi vingine vinavyokulazimisha kukaa mbali nae na umakuwa na kisingizio Cha uzalishaji huko mbali nae

Rule No 4
Jiamini akikufokea usimjibu wewe kaa na principle tu.

Hayo ni machache tumeyaishi
Atajirudi mwenyewe
 
Back
Top Bottom