Champion tz
Member
- Aug 31, 2018
- 11
- 7
Umefanyaje mbona inagoma kwanguMimi nimeapply
Kaaplly, sio kafanya testUmefanyaje mbona inagoma kwangu
Kufanya testKaaplly, sio kafanya test
Iyo reply uliyonukuu alikua anamaanisha kuwa kapply ni ya muda toka February mbili, alikua hamaanishi kuwa kafanikiwa kufanya text, ndo kitu nilikua najaribu kukujibu hapo juu.Kufanya test
Anhaa nmeelewa asanteIyo reply uliyonukuu alikua anamaanisha kuwa kapply ni ya muda toka February mbili, alikua hamaanishi kuwa kafanikiwa kufanya text, ndo kitu nilikua najaribu kukujibu hapo juu.
Umefanikwa?Link kizungumkuti
Hapana, mwanzo nilikua najibiwa, you cannot enrol yourself, sahivi najibiwa this course is currently unavailable for studentsUmefanikwa?
Same na mimi hivyo hivyoHapana, mwanzo nilikua najibiwa, you cannot enrol yourself, sahivi najibiwa this course is currently unavailable for students
Mbn umeshachelewa ndugu??? Wenzio wako kwenye interview leoWakuu kuna mtu aliye fanikiwa kuapply hizi kazi zilizotangazwa na Benki ya Nmb maana kwangu naona portal yao imegoma kufunguka na muda ndio unaelekea kuisha.