Kuna aliyepata majibu baada ya kukata rufaa Bodi ya Mikopo?

Kuna aliyepata majibu baada ya kukata rufaa Bodi ya Mikopo?

Mike2019

New Member
Joined
Aug 11, 2019
Posts
1
Reaction score
0
Tafadhalini naomba mnifahamishe, baada ya kukata rufaa bodi ya mikopo majibu yanatoka lini? Kuna aliyepata majibu?
 
Tafadhalini anomba mnifahamishe baada ya kukata rufaa bodi ya mikopo majibu yanatoka lini??, Kuna aliyepata majibu??
Mkuu HESLB hawaeleweki kabisa. Wenyewe hawajui majibu wanatoa lini, maana hata ukienda Bodi pale hawajui ni lini wanatoa, watakuambia tu yakikamilika watatoa.
 
hao nikusubir tu maana sifa yao kubwa ni kufanya kazi kwa kujivuta sana.
 
Mh hivyo kunamajibu ya rufaa ngoja niwaendee huko huko wakaniambie yamekuaje tumegeli tena ntawajuza me naenda ofisini kwao
 
Yani hapa hatuelewi hatima yetu tuendelee na chuo au tuache tukapambane kitaaa....
Tafadhalini naomba mnifahamishe, baada ya kukata rufaa bodi ya mikopo majibu yanatoka lini? Kuna aliyepata majibu?
 
Ila nazani wiki 2 zijazo bomu litalipuka tu ila tuwe wavumilivu tuishi kwa kuamini tusichokijua.
Daaah wana wanajivuta sana mpk mwz wa 12 huu kwnn anko magu hawavamii hawa wahusika?
 
Daaaaaaah wengine hata kusajiliwa maana tupo mguu nje mguu ndani tulifika chuon wanataka hela na mim natemegemea boom nilipe kias kitavhodaiwa ada
 
Siyo kwamba wanachelewa makusudi, Serikali haijawapa pesa , endeleeni kuchagua CCM
Amna bhana si walosema teyar ipo bilion 1na point kazaa kwa ajit ya wanaoshinda rufaa mkuu ccm hapa tena aihusiki uchaguzi anafanya badru na wakeze ndo wanaowapa watoto wa marafiki zao
 
Daaaaaaah wengine hata kusajiliwa maana tupo mguu nje mguu ndani tulifika chuon wanataka hela na mim natemegemea boom nilipe kias kitavhodaiwa ada
mkuu pole sana ata mm sina usajir adi mdah uhu na kuaitisha mwaka sheria mbaka uwe umelipa ada nami sina ata sh mia so nakaribia kudisco cku wakitangaza tu usajir umefungwa bac ndo ntakuwa nimeaga maisha ya kusoma rasmi lakin sasa napumulia mipira nafkir mwisho wangu ni hyo wki ijayo usajr ufungwapo
 
Back
Top Bottom