miminimkulimaakachekasana
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 3,263
- 4,730
Ndiyo kapatahuyu kapata?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo kapatahuyu kapata?
Mbona hamna percentageMkuu bhana
Majina ya waliopata yametolewa leo... Appeal imepokelewa muda haijaanza kufanyiwa kazi leo
Ummeelewa
Labda ungesema your appeal is succesful..
Kumaanisha maombi yako ya ku appeal yamefanikiwa
Mkuu bhana
Majina ya waliopata yametolewa leo... Appeal imepokelewa muda haijaanza kufanyiwa kazi leo
Ummeelewa
Labda ungesema your appeal is succesful..
Kumaanisha maombi yako ya ku appeal yamefanikiwa
Kakosa apo si not successful,yani hawa jamaa ata sijui wanatia vigezo ganiView attachment 1284709
Kwahiyo huyu amepata?
Mbona kuna black na kwenye successful kuna green? ina implicate nini?Kakosa apo si not successful,yani hawa jamaa ata sijui wanatia vigezo gani
Nimeona wamebadishawaku wamebadilishaa, watu walikuwa wameandikwa congratulation, your appeal is successful
sasa hivi wameweka not successful....daa
angalieni account zenuu, kuna watu mambo yamebadilikaa
Pole sana kijanaawa mbwa wanalipwa pesa zetu za kodi sisi walala njaa alafu kumbe awajabobea kwenye taaruma it wababaishaji magu tumbua mbwah awa mara ya pili hii makosa yale yale wlishawaigi weka x kwenye payment info asa niliwezaje kujaza docoment zangu kama sikufanyaga malipo jamaa awa me sijasoma it lakini ninauakika awana uwezo wa kunipita kuchezea computa wameajiliana ki connection tu usikute wanaundugu na badru
Hata Mimi wmeniandkia hvyo lafu cjaona kiac walichoongezaCongratulations your appeal is successful