Kuna aliyepata majibu baada ya kukata rufaa Bodi ya Mikopo?

Kuna aliyepata majibu baada ya kukata rufaa Bodi ya Mikopo?

Mkuu bhana

Majina ya waliopata yametolewa leo... Appeal imepokelewa muda haijaanza kufanyiwa kazi leo

Ummeelewa

Labda ungesema your appeal is succesful..

Kumaanisha maombi yako ya ku appeal yamefanikiwa
Mwenye pdf tunaomba aweke hapa
 
huyu kapata?
 

Attachments

  • Snapshot_19-12-07_09-05-43.png
    Snapshot_19-12-07_09-05-43.png
    37 KB · Views: 20
Back
Top Bottom