Kuna Aliyeuelewa wimbo mpya wa Ommy Dimpoz?

Kuna Aliyeuelewa wimbo mpya wa Ommy Dimpoz?

hahaa hii thread inenifanya nibaini kuwa kweli wabongo ni wanafiki sana ..na hawaujui mziki kabisaaaa""" baada ya kuusikia vyema wimbo wa ommy "" tukiachana na chuki kando "" nadiriki kusema ommy ameimba ile ngoma kwa kiwango cha juu mnooo"" sikuwahi kutegemea kuona kuwa Jamaa anaweza kufikia level ile ya uimbaji....melody zimesimama kabadilika kaacha kubana pua " kaachana na nyimbo za utoto utoto"" yaani bonge si la ngoma...awali nilikataa kabisa kuwa ni yeye ndiye aliyeimba" nilidhni kuwa ni yule Jamaa aliyeimba amarula....BINAFSI NIMERIDHIKA NA ALICHOKIFNYA"""
wimbo mzuri sana. Mi nausikiliza mara kwa mara.
 
wimbo mzuri sana. Mi nausikiliza mara kwa mara.
haswaaa...wimbo mzuri huwa hauhitaji kuusikiza Mara nyingine iliuweze kuujua uzuri wake ....yaani ukiusikiza kwa Mara ya kwanza tu "" kama kweli wajua mziki .unajua kuwa hii ni hit song
 
Huu wimbo wa Rayvanny unakuja kuufunika wimbo wa Ommy

 
Frankly speaking bila unafiki wala kumuonea nimeuskiliza wimbo mpya wa Dimpoz,audio mara 5 na kuangalia video mara 5,sikuamini kama yule ndo Ommy Dimpoz wa Ngagushima,Me n You etc dooh wimbo haueleweki wala nini kwa kifupi mwana siku hizi miyeyusho kabisa amechuja,huko youtube siku ya pili lakin views hata 350k bado hajafikisha.....Ommy kuna Mahali unakosea mdogo wangu kaa chini tuliza kichwa...rudia zile enzi mzee baba,usitembelee nyota ya Ali Kiba utapotea.

Najua kwa Sred hii nakupigia promo kimtindo but umezingua sana ngoma mbovu mno
Chuki mbaya sana hii mwisho utakua mchawi yanje ningoma kali kuzidi alizowaikutoa ameimba kiproffisional zaid big up ommy
 
Huu wimbo wa Rayvanny unakuja kuufunika wimbo wa Ommy

Tangu Ray atoe huku Kwetu
hili pochi nene ndo nmemwelewa... Ray anafaa zaidi kuRap sio kuimba... Yani pochi nene bonge la ngoma kwa wapenda hiphop swagg za majigambo
 
Niko hapa nasoma hii thread huku efm ngoma ya j-mo niko busy inapigwa,aisee vijana wa sasa hawaumizi vichwa kabisa
 
Chuki mbaya sana hii mwisho utakua mchawi yanje ningoma kali kuzidi alizowaikutoa ameimba kiproffisional zaid big up ommy
😀😀😀😀😀😀 ukija kujua maana ya profesheno ndo utajua kama ndugu yenu katoa boko😛😛
 
Kiukweli nyimbo ni mbaya sana, hamna kitu mule
 
Duh siku ya pili hajafikisha views 300 aiseee ina maana kiba ndo hatoi wimbo kabisaaaa maana alihaidi wimbo wa ommy ukifikisha views million atashusha vichupa mfululizo
ila kakaza ana viewers 610k kwa siku 4....na hao wanaomsifia Rayvanny-pochi nene ina viewers 238k kwa siku moja that means after 4days kama trend zitaenda sawa atakuwa anaaraound 600k viewers so sioni tofaut hapo......naona kuwa wote ni wasanii wakali wanaokubalika
 
Achana na wcb wao kiki zao zote zimebuma. Watu wamemkazania ommy sababu ya kubebwa na kiba. Kiba kasema hatoi wimbo mpaka ommy afikishe views 3mil
ila kakaza ana viewers 610k kwa siku 4....na hao wanaomsifia Rayvanny-pochi nene ina viewers 238k kwa siku moja that means after 4days kama trend zitaenda sawa atakuwa anaaraound 600k viewers so sioni tofaut hapo......naona kuwa wote ni wasanii wakali wanaokubalika
 
Achana na wcb wao kiki zao zote zimebuma. Watu wamemkazania ommy sababu ya kubebwa na kiba. Kiba kasema hatoi wimbo mpaka ommy afikishe views 3mil
wimbo wake mzur sasa sijui watu humu ndani kwann wanamponda kihvy
 
Ule ndo nyimbo ya kwanza ya dimpoz nayoipenda ukisema nitaje list ya nyimbo zake nazozipenda
 
Back
Top Bottom